×

Ally Mayay Ateuliwa Kuwa Kaimu Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo Nchini

GWIJI wa Taifa Stars Ally Mayay Tembele ameteuliwa kuwa Kaimu Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo nchini kwenye Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo.

Leave a Comment