WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Majaliwa Kassim Majaliwa amehudhuria ufunguzi wa mkutano wa Shirika la Utalii Duniani Kamisheni ya Afrika unaofanyika jijini Arusha.
WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Majaliwa Kassim Majaliwa amehudhuria ufunguzi wa mkutano wa Shirika la Utalii Duniani Kamisheni ya Afrika unaofanyika jijini Arusha.