×

Benki ya Dunia Yataja Mafanikio Matatu ya Uchumi wa Tanzania  Nchini ya Rais Samia Suluhu Hassan

Benki ya dunia yataja mafanikio matatu ya Uchumi wa Tanzania  nchini ya Rais Samia Suluhu Hassan
1. Tanzania ina mfumuko mdogo kuliko nchi zote za Afrika Mashariki
2 Uchumi wa Tanzania unakua kwa kasi kuliko wastani wa Afrika Kusini mwa Sahara.
3. Deni la Taifa ni himilivu

Leave a Comment