×

Mandonga Ala Shavu La Ubalozi wa Tigo Kili Half International Marathon

Bondia aliyejizolea umaarufu wa ghafla hapa nchini, Karim Mandonga ala shavu la ubalozi wa Tigo Kili Half International Marathon itakayofanyika tarehe 26 Februari 2023, katika viwanja vya Muccobs, Moshi, Kilimanjaro #KazaKishua. Mandonga anakuwa mhamasishaji (influencer)/ kwahiyo atakuwa ana hamasisha watu kukimbia kuanzia leo mpaka tarehe 27 Februari, na atakuepo Moshi, Kilimanjaro.

Leave a Comment