Mkurugenzi wa Bandari ya Dar es Salaam, Mrisho Mrisho amefunguka mkataba baina ya Serikali ya Tanzania na UAE katika ushirikiano katika nyanja mbalimbali ikiwemo mafunzo, TEHAMA pamoja na uendelezaji na uendeshaji wa bandari (IGA).
Mkurugenzi wa Bandari ya Dar es Salaam, Mrisho Mrisho amefunguka mkataba baina ya Serikali ya Tanzania na UAE katika ushirikiano katika nyanja mbalimbali ikiwemo mafunzo, TEHAMA pamoja na uendelezaji na uendeshaji wa bandari (IGA).