×

Hotpot Video; Penzi La Paula Na Marioo Bado La Moto – Wamuumbua Baba Levo

Paula Kajala; ni mrembo maarufu kwenye mitandao ya kijamii (sosholaiti) nchini Tanzania amekanusha uvumi unaoendelea kwamba ameachana Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Marioo.

Leave a Comment