



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Machi 24, 2024 ameongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Dar es Salaam.




Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Machi 24, 2024 ameongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Dar es Salaam.