Mambo si mazuri kwa kwa mashabiki wa Simba, baada ya timu yao kukubali kichapo cha goli 1-0 kutoka kwa AlAhly ya Misri katika mchezo wa Kwanza wa Robo Fainali uliomalizika kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam
Mambo si mazuri kwa kwa mashabiki wa Simba, baada ya timu yao kukubali kichapo cha goli 1-0 kutoka kwa AlAhly ya Misri katika mchezo wa Kwanza wa Robo Fainali uliomalizika kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam