
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetoa ufafanuzi umma kuhusu hitilafu ya umeme kwenye Gridi ya Taifa iliyojitokeza leo Mei 4, 2024 majira ya saa 08:40 usiku na kupelekea baadhi ya maeneo nchini kukosa umeme .


Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetoa ufafanuzi umma kuhusu hitilafu ya umeme kwenye Gridi ya Taifa iliyojitokeza leo Mei 4, 2024 majira ya saa 08:40 usiku na kupelekea baadhi ya maeneo nchini kukosa umeme .
