
Klabu ya Simba Sc imetangaza kukamilisha uhamisho wa winga wa kulia, Joshua Mutale kutoka klabu ya Power Dynamos ya nchini kwao Zambia. Mutale (22) raia wa Zambia amesaini mkataba wa miaka mitatu.

Klabu ya Simba Sc imetangaza kukamilisha uhamisho wa winga wa kulia, Joshua Mutale kutoka klabu ya Power Dynamos ya nchini kwao Zambia. Mutale (22) raia wa Zambia amesaini mkataba wa miaka mitatu.