Kufuatia vita ya maneno inayoendelea kwa kasi mitandaoni kati ya mwanadada @officialshilole na @esha.s.buheti, mwanamuziki mkubwa wa Taarab ambaye naye anajihusisha na biashara ya uuzaji wa chakula akiwa na mgahawa wake, @Ishamashauzi ameingilia kati na kutoka ushauri wake.