STAA wa muziki wa Bongo Fleva, Maua Sama ameachia wimbo wake mpya wa ‘Poa’ wimbo huo ameshirikisha Malkia wa Bongo Fleva, Faustina Charles Mfinanga almaarufu Nandy.
STAA wa muziki wa Bongo Fleva, Maua Sama ameachia wimbo wake mpya wa ‘Poa’ wimbo huo ameshirikisha Malkia wa Bongo Fleva, Faustina Charles Mfinanga almaarufu Nandy.