Msemaji wa Yanga SC, Ally Kamwe amesema mechi ya dabi dhidi ya mtani wao Simba SC itakayochezwa Oktoba 19, 2024 haiwezi kuwamua bingwa wa msimu huu.
Kamwe ameyasema hayo leo Oktoba 10, 2024 katika hafla maalumu ya waandishi wa Habari (Media Day).
Msemaji wa Yanga SC, Ally Kamwe amesema mechi ya dabi dhidi ya mtani wao Simba SC itakayochezwa Oktoba 19, 2024 haiwezi kuwamua bingwa wa msimu huu.
Kamwe ameyasema hayo leo Oktoba 10, 2024 katika hafla maalumu ya waandishi wa Habari (Media Day).