×

Jenerali Mkunda, Chalamila Na Waziri Tax Walivyofika Kuuaga Mwili Wa Jenerali Mbuge Lugalo – Video

Mkuu wa Majeshi Jenerali Jacob Mkunda, akisani kitabu cha maombolezo kufuatia kifo cha marehemu Meja Jenerali mstaafu Charles Mbuge
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Stergomena Lawrence Tax (Mb), akisani kitabu cha maombolezo.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila akisani kitabu cha maombolezo.

Mwili wa marehemu Meja Jenerali mstaafu Charles Mbuge umeagwa Jana Oktoba 15, 2024 nyumbani kwake Tabata Segerea ukiongozwa na Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Luteni Jenerali Salum Haji Othman.

Mwili wa marehemu, Meja Jenerali mstaafu Charles Mbuge unatarajiwa kuagwa kijeshi leo Oktoba 16 katika hospitali kuu ya Jeshi Lugalo, na baadae utasafirishwa kuelekea mkoani Mara kwaajili ya kufanyiwa mazishi tarehe 17 Oktoba.

MTOTO wa JENERALI MBUGE ALIVYOTAKA KUGUSA MWILI wa BABA’AKE KWENYE JENEZA – WANAJESHI WAWAHI KUMTOA


 

Leave a Comment