
Mwanadada Rosemary amefunguka kupitia kipindi cha Kontena ya Global TV na kueleza kuwa mojawapo ya sababu zilizopelekea kuvunjika kwa ndoa yake ni rafiki yake ambaye alimshawishi kumloga mume wake.

Mwanadada Rosemary amefunguka kupitia kipindi cha Kontena ya Global TV na kueleza kuwa mojawapo ya sababu zilizopelekea kuvunjika kwa ndoa yake ni rafiki yake ambaye alimshawishi kumloga mume wake.