×

Steve Nyerere Atoa Povu, ”Wasanii Wa Bongo Fleva Hawatokei Msibani” – Video


Mchekeshaji maarufu na staa wa filamu, Steve Nyerere amewashukia wasanii wa Bongo Fleva kwa madai kwamba wengi wao hawaendi kwenye misiba ya wenzao.

Leave a Comment