Msanii wa Sanaa ya Uigizaji nchini, Irene Uwoya amefunguka kupitia GLOBAL TV na kueleza kuwa mwanzo hakufahamu kuwa ni kosa kisheria kuchangisha pesa Kwa watu katika kipindi cha maafa.
Msanii wa Sanaa ya Uigizaji nchini, Irene Uwoya amefunguka kupitia GLOBAL TV na kueleza kuwa mwanzo hakufahamu kuwa ni kosa kisheria kuchangisha pesa Kwa watu katika kipindi cha maafa.