
Siku chache kabla ya ya kufunguliwa kwa dirisha dogo la usajili hapo Desemba 15, 2024, klabu ya Pamba Jiji Fc almaarufu TP Lindanda imemtambulisha rasmi kiungo mshambuliaji Deus Kaseke kama mchezaji wao mpya.

Siku chache kabla ya ya kufunguliwa kwa dirisha dogo la usajili hapo Desemba 15, 2024, klabu ya Pamba Jiji Fc almaarufu TP Lindanda imemtambulisha rasmi kiungo mshambuliaji Deus Kaseke kama mchezaji wao mpya.