
Timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars imepangwa kwenye Kundi C kwenye droo ya makundi ya kombe la Mataifa Afrika iliyofanyika usiku huu katika ukumbi wa Kimataifa wa Mohammed V uliopo Rabat jijini Morocco. Stars imepangwa Kundi c sambamba na Nigeria, Tunisia na Uganda.
Makundi ya AFCON 2025 itakayofanyika kuanzia Desemba 21, 2025 hadi Januari 18, 2026 ni kama ifuatavyo:
Group A: Morocco, Mali, Zambia, Comoros
Group B: Egypt, South Africa, Angola, Zimbabwe
Group C: Nigeria, Tunisia, Uganda, Tanzania
Group D: Senegal, DR Congo, Benin, Botswana
Group E: Burkina Faso, Equatorial Guinea, Sudan
Group F: Ivory Coast, Cameroon, Gabon, Mozambique