×

Timu Zilizofuzu Kombe la Dunia 2026 Hadi Sasa, Senegal na Ivory Coast Ndani!

Sadio Mané ameendelea kuthibitisha ubora wake baada ya kuibuka shujaa kwa Senegal, akifunga magoli mawili muhimu katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Mauritania, uliowapeleka “Lions of Teranga” moja kwa moja kwenye Kombe la Dunia la FIFA 2026.

Timu Zilizofuzu Kombe la Dunia 2026 Hadi Sasa

🇪🇺 Mwenyeji

  • 🇨🇦 Canada

  • 🇲🇽 Mexico

  • 🇺🇸 United States

🌏 Asia (AFC)

  • 🇯🇵 Japan

  • 🇮🇷 Iran

  • 🇰🇷 South Korea

  • 🇦🇺 Australia

  • 🇯🇴 Jordan

  • 🇺🇿 Uzbekistan

🌍 Afrika (CAF)

  • 🇲🇦 Morocco

  • 🇹🇳 Tunisia

  • 🇩🇿 Algeria

  • 🇪🇬 Egypt

  • 🇬🇭 Ghana

  • 🇨🇻 Cape Verde

  • 🇿🇦 South Africa

  • Ivory Coast

🌎 Amerika Kusini (CONMEBOL)

  • 🇦🇷 Argentina

  • 🇧🇷 Brazil

  • 🇺🇾 Uruguay

  • 🇨🇴 Colombia

  • 🇪🇨 Ecuador

  • 🇵🇾 Paraguay

🌏 Oceania (OFC)

  • 🇳🇿 New Zealand


⚽ Jumla hadi sasa:
🟢 23 timu zimefuzu rasmi kati ya 48 zitakazoshiriki Kombe la Dunia 2026.

Leave a Comment