×

Depú Arejea Petro de Luanda kwa Dau la TSh Bilioni 1.3!

Petro de Luanda imetangaza rasmi kumsajili tena mshambuliaji wa Kimataifa wa Angola, Laurindo Dilson Maria Aurélio ‘Depú’, kutoka Yanga, kuelekea msimu wa 2026/27.

Uhamisho huo umegharimu USD 500,000, sawa na takribani TSh bilioni 1.3.

Kupitia taarifa yao, Petro de Luanda wamemkaribisha Depú kwa kusema:

“Ameirejea katika sehemu ambayo anakuwa mwenye furaha. Karibu tena, Depú!”

Leave a Comment