
Mtangazaji wa @globaltvonline na @255globalradio, Godfrey Nathan @godmuya ameteuliwa kuwania tuzo za Samia Kalamu Awards 2026.
👉 Piga kura kupitia:
https://samiaawards.tz/mshiriki/260246
Sasa Godmuya anaomba support yako, mfuatiliaji wa Global TV, kwa kumpigia kura ili kufanikisha ushindi wake.
🗳️ MPIGIE KURA: GODFREY LUHILABAKE NATHAN
🔢 Kodi: 260246
👉 Piga kura kupitia:
https://samiaawards.tz/mshiriki/260246
Kura yako ni mchango mkubwa kwa Godmuya katika safari hii ya tuzo.
🙏 Piga kura, share na mwambie mwingine apige kura!