Msanii wa muziki wa kizazi kipya Bongo, Diamond Platnumz, leo amemfanyia sherehe ya arobaini mwanaye Nillan ambapo kwa mara ya kwanza, mtoto huyo ameoneshwa sura hadharani katika sherehe ya aina yake, iliyofanyika nyumbani kwao, Madale jijini Dar es Salaam.
Mtoto Nillan amezawadiwa mitoti ya pesa wakati wa hafla hiyo.
Kwa stori zote kali, Tu-follow
Facebook @Globalpublishers
Twitter @GlobalHabari
Instagram @GlobalPublishers
YouTube @GlobalTVTZ
CHEKI VIDEO CHINI