×

Wabunge Wametoa Posho Yao ya Leo Rambirambi kwa Wafiwa Karatu

DODOMA: Wabunge wote wamekubali kutoa posho yao yote ya leo kwa ajili ya rambirambi kwa familia za wanafunzi 32 waliopoteza maisha kwenye ajali juzi, Karatu.

Leave a Comment