The House of Favourite Newspapers

LIVE: ‘Marehemu’ Aibukia Nyumbani Akiwa Hai

0

Tazama tukio zima LIVE kupitia Global TV Online HAPA

Bibi wa ‘marehemu’.

 

NI mshtuko! Hicho ndicho kilichotokea kufuatia tukio la hivi karibuni lililojiri Kinondoni jijini Dar, baada ya wanandugu kuhakiki mwili wa aliyedaiwa kuwa ni ndugu yao ukiwa mochwari na kuthibitisha kuwa ni yeye na baadaye kumzika kwa heshima zote, lakini kwa namna ya kushangaza, siku chache mbele, ‘marehemu’ aliibuka nyumbani na kuzua taharuki.

 

Lutavi aliyedaiwa kufariki kisha kuzikwa, (wa pili kushoto) akiwa na ndugu zake baada ya kuibukia nyumbani kwao akiwa hai.

 

“Wakati wa kuaga mwili, tuliamua tusiufunue kwa kuwa alikaa hospitali muda mrefu, hivyo ndugu wengine hawakupata nafasi ya kumuona kisha tukamzika kwenye Makaburi ya Kinondoni.

 

Wakiwa kwenye kaburi wanalodai walimzika.

 

“Cha ajabu siku ya Jumanne (wiki iliyopita), Lutavi akabisha hodi, akaingia na kunikumbatia, watu wote tulishtuka, lakini baada ya kumhoji tunaamini ni yeye, tuliyemzika siye.

Bibi wa ‘marehemu’ huyo anasimulia.

 

 

INSTALL GLOBAL PUBLISHERS APP sasa usipitwe na matukio
PAKUA HAPA==>GLOBAL PUBLISHERS APP

FULL VIDEO; Mapambano Ngumi za Global TV – Ubingwa wa Afrika Mashariki na Kati, Tanzania Bingwa

Leave A Reply