
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Magufuli leo tarehe 25 Februari, 2018 ameungana na waumini wa Parokia ya Mlimani iliyopo Chato Mkoani Geita kusali Ibada ya Jumapili ya Dominika ya 2 ya Kwaresma.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Magufuli leo tarehe 25 Februari, 2018 ameungana na waumini wa Parokia ya Mlimani iliyopo Chato Mkoani Geita kusali Ibada ya Jumapili ya Dominika ya 2 ya Kwaresma.