×

SIMBA Yatua KIA Kwa Kishindo, Ikielekea Arusha (Picha +Video)

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara Simba, leo Oktoba 26,2019 wametua salama uwanja wa ndege KIA.  Kikosi hicho kinaelekea Arusha kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaopigwa kesho dhidi ya Singida United Uwanja wa Sheikh Amri Abeid.

Miraj Athuman ‘Sheva’ mshambuliaji wa Simba akiongoza msafara wa wachezaji wanzake leo baada ya kutua Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa KIA.

 

 

Wachezaji wa Simba wakipigiwa makofi na mashabiki wao.