JPM Akutana Na Wananchi Wa Chato Katika Kijiwe Cha Kahawa -Video
Rais Dkt. John Magufuli ambaye Machi 28, 2020 amewasili nyumbani kwake Chato Mkoani Geita akitokea Mkoani Dodoma amekutana na wananchi wenzake wa Chato katika kijiwe cha Kahawa na soko la maboga na kuwapongeza kwa juhudi za kujitafutia kipato.