Msemaji Mkuu wa serikali, Dkt Hassan Abbas, ametaja misingi na mikakati iliyochangia Nchi yetu kukua kiuchumi kwa mwaka 2020 ikiwa ni baada ya Benki ya dunia kuitaja Tanzania kuingia katika uchumi wa kipato cha kati siku ya jana Julai Mosi.
Msemaji Mkuu wa serikali, Dkt Hassan Abbas, ametaja misingi na mikakati iliyochangia Nchi yetu kukua kiuchumi kwa mwaka 2020 ikiwa ni baada ya Benki ya dunia kuitaja Tanzania kuingia katika uchumi wa kipato cha kati siku ya jana Julai Mosi.