×

Baada ya Kusaini Simba, Sakata la Morrison Laanza Upya, Yanga Yatoa Tamko

Baada timu ya Simba kutoa picha zikimwonyesha, Benard Morrison kumsajili, Uongozi wa Yanga umesema mchezaji huo ni mali yao na anamkataba wa miaka miwili.

Leave a Comment