×

Mr. Championi Agawa Tiketi Simba Day Kwa Wasomaji Wake

Mkuu wa kitengo cha Masoko Global Publishers, Adam Antony (kushoto) akimkabidhi tiketi msomaji wa gazeti la Championi kabla ya kuingia katika uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam.
…Adam (kushoto) akimkabidhi tiketi msomaji wa gazeti la Championi kabla ya kuingia katika uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam baada ya kukutwa akilisoma gazeti hilo.
Msomaji wa Gazeti la Championi akionesha tiketi yake ya kuingia katika uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam katika maadhimisho ya Simba Day.
Mdau mkubwa  wa Gazeti la Championi akionesha gazeti la Championi katika uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam katika maadhimisho ya Simba Day kabla ya kuingia uwanjani.
Ofisa Masoko wa Global Publishers, Songoro Bilal (kulia) akimkabidhi tiketi msomaji wa Championi kwa ajili ya kuingilia uwanjani katika sherehe za Simba Day.
…Msomaji akilisoma gazeti la Championi.
Ofisa Masoko wa Global Publishers, Songoro Bilal (kulia) akimkabidhi tiketi msomaji wa Championi kwa ajili ya kuingilia uwanjani kusherehekea sherehe za Simba Day.
Mwanadada akifurahia kukabidhiwa tiketi kwa ajili ya kuingia Uwanja wa Mkapa kusherehekea Simba Day.
Msomaji wa Championi akipozi na gazeti lake baada ya kukabidhiwa tiketi ya kuingia katika Sherehe za Simba Day, baada ya kukutwa na Mr.Championi akilisoma.

 

Mapema leo Mr. Championi amewakabihi tiketi za kuingilia uwanjani kushuhudia sherehe za  Kilele cha Simba Day leo Agosti 22, 2020 ambapo mashabiki wamejitokeza kwa wingi.

 

Mr.Championi amewakabidhi mashabiki ambao walikutwa wakilisoma gazeti hilo katika viunga vya uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam.

Leave a Comment