
Makamu wa Rais mteule Dkt. Philip Isdor Mpango kuapishwa kesho March 31, 2021 kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania. Hafla ya uapisho itafanyika Ikulu ya #Chamwino jijini #Dodoma.


Makamu wa Rais mteule Dkt. Philip Isdor Mpango kuapishwa kesho March 31, 2021 kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania. Hafla ya uapisho itafanyika Ikulu ya #Chamwino jijini #Dodoma.
