
Simba SC itacheza na timu ya Kaizer Chiefs kutoka Afrika Kusini katika robo fainali ya michuano ya Klabu Bingwa Afrika.
Mchezo wa kwanza utapigwa Johannesburg Mei 14-15, 2021 na mchezo wa pili utapigwa Dar es Salaam Mei 21-22, 2021.



Simba SC itacheza na timu ya Kaizer Chiefs kutoka Afrika Kusini katika robo fainali ya michuano ya Klabu Bingwa Afrika.
Mchezo wa kwanza utapigwa Johannesburg Mei 14-15, 2021 na mchezo wa pili utapigwa Dar es Salaam Mei 21-22, 2021.

