Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan leo Juni 18, 2021 ametangaza siku 7 za maombolezo Kitaifa kufuatia kifo cha Rais wa Kwanza wa Zambia Dkt. Kenneth Kaunda, kilichotokea jana Juni 17, 2021,.
Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan leo Juni 18, 2021 ametangaza siku 7 za maombolezo Kitaifa kufuatia kifo cha Rais wa Kwanza wa Zambia Dkt. Kenneth Kaunda, kilichotokea jana Juni 17, 2021,.