Olivier Giroud na wenzake wakishangilia ushindi dhdi ya Olympiacos.
Chelsea wakishangilia kutinga hatua ya 16 Bora ya Ligi ya Mabingwa Ulaya.
Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger akishangilia ushindi wa timu yake.
Klabu za Chelsea na Arsenal kutoka England usiku wa kuamkia leo zilifanikiwa kutinga hatua ya 16 Bora ya Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya kushinda mechi zao za mwisho katika makundi yao.

Olivier Giroud akishangilia bao lake la pili.
Chelsea waliibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya FC Porto na kuongoza Kundi G huku Arsenal wakiifunga Olympiacos mabao 3-0 na kushika nafasi ya pili katika Kundi F.

Willian wa akishangilia bao aliloifungia Chelsea.
Hii ndiyo orodha ya timu zilizotinga hatua ya 16 bora
Haya ni matokeo ya mechi za usiku wa kuamkia leo pamoja na wafungaji.
Kundi E
Bayer Leverkusen 1 – 1 Barcelona
Wafungaji:
Barcelona: Dk 20 Lionel Messi
Bayer Leverkusen: Dk 23 Javier Hernandez
Roma 0 – 0 BATE Borisov
Kundi F
Dinamo Zagreb 0 – 2 Bayern Munich
Wafungaji:
Bayern Munich: Dk 61 na 64 Robert Lewandowski
Olympiacos 0 – 3 Arsenal
Wafungaji:
Arsenal: Dk 29, 49, 67 (pen) Olivier Giroud
Kundi G
Chelsea 2 – 0 FC Porto
Wafungaji:
Chelsea: Dk 12 Ivan Marcano (kajifunga), Willian 52
Dynamo Kyiv 1 – 0 Maccabi Tel Aviv
Wafungaji:
Dynamo Kyiv: Dk 16 Denis Garmash
Kundi H
Gent 2 – 1 Zenit St. Petersburg
Wafungaji:
Gent: Dk 18 Laurent Depoitre na Dk 78 Danijel Milicevic
Zenit St. Petersburg: Dk 65 Artem Dzyuba
Valencia 0 – 2 Lyon
Wafungaji:
Lyon: Dk 37 Gnaly Maxwell Cornet na Dk 76 Alexandre Lacazette



