
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Samia Suluhu Hassan amehutubia kwenye Maadhimisho ya miaka 10 ya Chuo cha Taifa cha Ulinzi Tanzania (NDC), Kunduchi Jijini Dar es Salaam.





RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Samia Suluhu Hassan amehutubia kwenye Maadhimisho ya miaka 10 ya Chuo cha Taifa cha Ulinzi Tanzania (NDC), Kunduchi Jijini Dar es Salaam.



