Msanii mkongwe wa muziki wa Taarab, Siza Mazongela aliyepata umaarufu zaidi kwa kuimba ‘Segere’, amepiga stori na Global TV kupitia #Konayamtaa ambapo amefunguka mambo mengi usiyoyajua kuhusu maisha yake na muziki.
Msanii mkongwe wa muziki wa Taarab, Siza Mazongela aliyepata umaarufu zaidi kwa kuimba ‘Segere’, amepiga stori na Global TV kupitia #Konayamtaa ambapo amefunguka mambo mengi usiyoyajua kuhusu maisha yake na muziki.