Shehe Maridhawa akiwaombea dua watu waliofika viwanja vya Nuru Yakin jana.
Baadhi ya watu waliodhuria kwenye mkutano huo.
Shehe Maridhawa (kulia) akizungumza na watu.
Shehe Kindamba(wa kwanza kulia) akiombea watu.
Baadhi ya watu waliofika hapo kwa shida mbalimbali za kuombewa.
Shehe Maridhawa atua Dar kuwaombea watu SHEHE maarufu visiwani Zanzibar na nje ya Tanzania, Salum Maridhawa, ametua Dar kwa ajili ya kuwatibu watu mbalimbali kwa kuwaombea na kuwapa mafuta ambayo yatawasaidia katika matatizo mbalimbali.
Shehe huyo ambaye anaongozana na mashehe wenzake watano, amekuwa alitoa huduma mbalimbali jana katika viwanja vya Nuru Yakin vilivyoko Temeke jijini Dar.
(NA IMELDA MTEMA/GPL)