×

Mkuu Wa Wilaya Ya Karatu Apokea Misaada Ya Waathirika Wa Mafuriko Kutoka Kwa Wadau

Mkuu wa Wilaya ya Karatu Mh. Dadi Harace Kolimba amepokea misaada ya vitu mbalimbali kutoka Kampuni ya Mawasiliano ya Tigo ambayo iliwasilishwa na Meneja Mauzo Kanda ya Kaskazini, Daniel Mainoya.

Mkuu wa Wilaya ya Karatu Mh. Harace Kolimba (kushoto) akipokea sehemu ya misaada hiyo kutoka kwa Meneja Mauzo Kanda ya Kaskazini wa Tigo, Daniel Mainoya.   
Brian Mustapha Shabani (kulia) ambaye ni muathirika wa mafuriko hayo akiishukuru Tigo kwa kuwakumbuka kwenye kipindi hiki kigumu.
Baadhi ya nyumba zilizoathiriwa na mafuriko hayo.   

Leave a Comment