Mtoto wa marehemu Mzee Kibonde, Sarah Kibonde amefunguka kupitia Global TV na kuelezea chanzo cha umauti wa Baba yake Mzee Kibonde kilichotokea Desemba 22, 2024.
Mtoto wa marehemu Mzee Kibonde, Sarah Kibonde amefunguka kupitia Global TV na kuelezea chanzo cha umauti wa Baba yake Mzee Kibonde kilichotokea Desemba 22, 2024.