Mkali wa Muziki wa Hip Hop, David Genzi ‘Young D’ amezua kioja cha aina yake baada ya kuitwa jukwaani kuimba na kuanza kuleta pozi bila sababu za msingi, jambo lililowakera mashabiki.
Tukio hilo lilijiri katika Ukumbi wa Maisha Basement, Kijitonyama, Dar ambapo bwana mdogo huyo alipoitwa jukwaani, aligoma na kuendelea kupiga tungi kwa takriban dakika ishirini.
Baada ya kubembelezwa sana alikubali kupanda jukwaani lakini kwa dakika chache.
KUNUNUA NA KUSOMA MAGAZETI YA GLOBAL PUBLISHERS ONLINE, DOWNLOAD NA INSTALL APP HII ILIYOPO KWENYE PLAY STORE YAKO==>VODACOM M-PAPER APP
*********
JIUNGE NA SOCIAL MEDIA ZETU:
KWA HABARI ZA KITAIFA, KIMATAIFA, MASTAA NA MIKASA YA KUSISIMUA
INSTAGRAM: @Globalpublishers
TWITTER: @GlobalHabari
FACEBOOK: @GlobalPublishers
SUBSCRIBE YOU TUBE: GlobalPublishers
GLOBAL TV ONLINE: www.globaltvtz.com
HADITHI ZA KUSISIMUA NA MBINU ZA UJASIRIAMALI, ERIC SHIGONGO FACEBOOK PAGE: @shigongotz
