×

Habari

Kikwete Ampongeza Rais Samia kwa Mafanikio Makubwa ya Miundombinu – Video

Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, amepongeza jitihada kubwa na mafanikio makubwa ya Rais...

READ MORE

Rais Samia Atembelea Tawi Jipya la NBC Ubungo Akizindua Rasmi Kituo Cha Biashara Kimataifa

Rais wa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Dkt. Samia Suluhu Hassan (kulia) akimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC...

READ MORE

Davinci na Mocktail Syrups, Zasaini Mkataba na Frabby wa Kusambaza Bidhaa Uokaji keki

Dar es Salaam 31 Julai 2025: Kampuni ya Davinci, inayojihusisha na uzalishaji wa vinywaji vya Cocktail na Mocktail Syrups, imesaini...

READ MORE

Rais Samia Azindua Usafirishaji wa Mizigo kwa Treni ya Umeme ya SGR

PWANI – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, Julai 31, 2025, ameongoza hafla ya kihistoria...

READ MORE

Shinda Kila Mzunguko, Spinoleague 2025 Yaja Kwa Kishindo

Meridianbet inaendelea kuthibitisha kuwa wao ni mabingwa wa kutoa fursa zisizotarajiwa. Mwaka huu, wanawakaribisha watanzania wote kushiriki katika tukio la...

READ MORE

Silvia Sigula na Jacqueline Mzindakaya Watinga Ubunge wa Viti Maalum CCM

RUKWA – Katika mchakato wa kura za maoni za Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) Mkoa wa Rukwa,...

READ MORE

Regina Ndege Aibuka Mshindi Kura za Maoni Viti Maalum CCM Manyara

Msimamizi wa uchaguzi wa kura za maoni za Ubunge wa Viti Maalum kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Manyara,...

READ MORE

Juliana Shonza Aibuka Kinara Kura za Maoni za UWT Songwe

Aliyewahi kuwa Mbunge wa Viti Maalum, Mkoa wa Songwe, Juliana Shonza ameongoza kwa idadi ya wingi wa kura za maoni...

READ MORE

SBL Yazindua Mpango Wa Kilimo Biashara Kuongeza Mavuno kwa Wakulima

Dar es Salaam, Tanzania , 31 Julai 2025: Mavuno hafifu yanayosababishwa na matumizi ya mbolea na viuatilifu bandia, mabadiliko ya...

READ MORE

Serikali Yaipongeza St Anne Marie Academy Kwa Maendeleo ya Kitaaluma

SERIKALI imeahidi kuendelea kushirikiana na sekta binafsi katika elimu huku ikiipongeza shule ya St Anne Marie Academy ya jijini Dar...

READ MORE

January Makamba Atoa Kauli ya Amani Baada ya Kutoteuliwa – Video

Mbunge wa Bumbuli anayemaliza muda wake na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC), January Makamba, amesema amekubaliana na uamuzi...

READ MORE

Zaidi ya asasi 167 kutoa elimu ya mpiga kura

Mweyekiti wa Tume Huruya Uchaguzi Jaji Jacob Mwambegele amesema tume yake imepania kuelimisha wapigakura nini cha kufanya kabla ya siku...

READ MORE

Mabasi 100 Kupeleka Mashabiki Kwa Mkapa Kushangilia CHAN

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, kwa kushirikiana na Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, ametangaza maandalizi...

READ MORE

NMB Yakabidhi Vifaa vya Michezo kwa BAMMATA Kuelekea Michezo ya Majeshi Zanzibar

[contact-form][contact-field label=”Name” type=”name” required=”true” /][contact-field label=”Email” type=”email” required=”true” /][contact-field label=”Website” type=”url” /][contact-field label=”Message” type=”textarea” /][/contact-form]   Benki ya NMB imekabidhi...

READ MORE

Meridianbet Yawafikia Wasafishaji Wa Barabara Kinondoni, Yagawa Vifaa Vya Kujikinga Wakati Wa Usafi

Katika kuendeleza dhamira yake ya kutoa mchango chanya kwa jamii, leo kampuni ya Meridianbet imefanya zoezi maalum la ugawaji wa...

READ MORE

Lissu: Mawakili wa Serikli Wanachelewesha Haki Kupatikana

Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, Tundu Lissu, ameonesha kutoridhishwa na mwenendo wa kesi ya...

READ MORE

Maria Mwanamke Pekee Aliyetoboa Mchujo wa Watia Nia Ubunge Kawe

Dar es Salaam 31 Julai 2025: Katika mchakato wa awali kumpata mgombea Ubunge jimbo la Kawe, kupitia Chama cha Mapinduzi,...

READ MORE

Waziri Mkuu Afurahishwa na Huduma za Benji ya Nmb kwa Wakulima Wafugaji na Wavuvi

Benki ya NMB, imeanzisha huduma ya utoaji bima ya mazao na mifugo ikiwa ni sehemu ya mpango wake wa kusaidia...

READ MORE

Laurence Masha Aidhinishwa na CCM Kuwania Ubunge Nyamagana

Aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Laurence Kego Masha, ameidhinishwa na Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kushiriki...

READ MORE

Hato Akamilisha Dili Na Chelsea Majira Haya

Kiungo wa kati wa klabu ya AFC Ajax na timu ya taifa ya Uholanzi, Jorrel Hato, amekamilisha usajili wake na...

READ MORE

CCM Yapitisha Eric Shigongo Kura za Maoni Ubunge Buchosa – Video

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza rasmi majina ya wagombea watakaowania nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Buchosa kupitia chama hicho,...

READ MORE

Sinzo Khamis Mgeja Naye Jina Lake Larudi

Sinzo Khamis Mgeja, mtoto  wa Mwanasiasa maarufu nchini, Comrade Khamis Mgeja ni mmoja wa makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),...

READ MORE

Nakala Ya Moyo Wangu Unavuja Damu Zauliziwa Kila Kona

BAADA ya uzinduzi wa kitabu cha Moyo Wangu Unavuja Damu kufanyia rasmi na kuingia sokoni, Julai 24 2025 Makao Makuu...

READ MORE

TASAC Yashuhudia Utiaji Saini Mkataba Wa Uendeshaji Bandari Kavu Kwala

SHIRIKA la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) leo Julai 28, 2025, limeshuhudia utiaji saini wa makubaliano ya pamoja kati ya...

READ MORE

Majaliwa: Actif 2025 Itoe Majibu Ya Changamoto Za Kibiashara Na Uwekezaji

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema kuwa Jukwaa la Nne la Biashara na Uwekezaji kati ya Afrika na Karibiani (ACTIF) linapaswa...

READ MORE

CCM Yatoa Orodha ya Wagombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025, Majina Yapo Hapa Majimbo Yote – Video

Dodoma, Julai 29, 2025 – Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha...

READ MORE

Moto Waua Watoto 5 Bwereni Kituo cha Yatima Tabora

Watoto watano wamefariki dunia na wengine sita kujeruhiwa baada ya bweni la Kituo cha Kulelea Watoto Yatima cha Igambilo, kuteketea...

READ MORE

Luhaga Mpina Aachwa Nje! CCM Yateua Wagombea Saba Kura za Maoni Kisesa

Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo, Julai 29, 2025, imetangaza majina ya wagombea saba walioteuliwa kupigiwa kura za...

READ MORE

Hersi Said Aachwa Nje! CCM Yateua Wagombea Sita Kigamboni

Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo Julai 29, 2025, kimetangaza majina ya wagombea sita waliopitishwa kuwania ubunge Jimbo la Kigamboni kupitia...

READ MORE

MONUSCO Yalaani Mauaji ya Raia 43 Kwenye Shambulio la ADF Ituri, DRC

“Ujumbe wa walinda amani wa Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo- DRC (MONUSCO) Umelaani vikali shambulio lililotokea...

READ MORE

Meridianbet Inamaliza Mwezi kwa Kishindo, Simu Tano za Galaxy A25 Kutolewa

Julai inaelekea ukingoni, na kwa mashabiki wa burudani ya michezo mtandaoni, huu si mwezi wa kuumaliza kwa kawaida. Kampeni kubwa...

READ MORE

Bingwa wa Ballon D’OR na Meridianbet Huyu Hapa

Wakali wa ubashiri  Meridianbet tayari wameshakuwekea washindi wako. Ingia kwenye akaunti yako na uchague mshindi wako sasa. Je yupi kuondoka...

READ MORE

Mbeto: Wanaongoja kusikia CCM imepasuka watasubiri kwa miaka mingi

Na Mwandishi Wetu , Dodoma Chama Cha Mapinduzi kimesema makundi ya Waganga njaa , Wanafiki na mamluki wanaosubiri kusikia CCM...

READ MORE

ACT Wapokea Nakala Tepe Daftari La Wapiga Kura

Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo Ndugu Ado Shaibu akipokea nakala tepe ya daftari la kudumu la wapigakura kutoka kwa Mwenyekiti...

READ MORE

Benki Ya Absa Tanzania Na World Vision Tanzania Wakabidhi Mradi Wa Maji Safi Kwa Kijiji Cha Kwedizinga

Benki ya Absa Tanzania kwa kushirikiana na World Vision Tanzania leo wamekabidhi rasmi mradi wa kisima chenye pampu ya umeme...

READ MORE

Wanachama 11 Chadema Wakamatwa Na Polisi, Kamanda Afunguka – Video

Jeshi la Polisi mkoa wa Rukwa limewakamata wanachama 11 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kwa tuhuma za kufanya...

READ MORE

Rais Samia Aongoza Kikao cha Kamati Kuu ya CCM Jijini Dodoma

Dodoma, Julai 28, 2025 – Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,...

READ MORE

Mashujaa Wa GGM Kili Challenge 2025 Wapongezwa Kwa Mchango Wao Katika Mapambano Dhidi Ya VVU

MKUU wa Mkoa wa Kilimanjaro, Mhe. Nurdin Babu, ameisifu na kuipongeza kampeni ya Kili Challenge, ambayo ni ubia kati ya Geita...

READ MORE

Waziri Mkuu Kumwakilisha Rais Dkt. Samia  Katika Mkutano Wa Actif 2025 Nchini  Grenada

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa Julai 27, 2025 amewasili mjini St. George’s, nchini Grenada ambapo atamwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan...

READ MORE

Kikao cha Kamati ya Maadili ya CCM Chafanyika Dodoma Usiku Kuchuja Majina ya Wagombea

Kikao cha Kamati ya Maadili ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kimefanyika majira ya saa nane usiku chini ya Mwenyekiti wa...

READ MORE