×

Habari

Wawania uspika waanza kuchukua fomu

Aliyekuwa Waziri wa Uchukuzi Mhe. Samuel Sitta akisaini kitabu cha wageni kabla ya kuchukua fomu za kuwania uspika wa bunge...

READ MORE

Kaimu Mkurugenzi mpya Muhimbili akutana na kamati tendaji yake

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Umma (MNH), Aminiel Aligaesha (kulia) na akimtambulisha Kaimu Mkurugenzi mpya wa Hospitali hiyo Profesa...

READ MORE

Rais Obama hatimaye ajiunga Facebook

Rais Barack Obama. RAIS wa Marekani, Barack Obama hatimaye amejiunga na mtandao wa kijamii wa Facebook na kuandika ujumbe wake...

READ MORE

TTCL Yawasaidia Watoto Vifaa vya Masomo Kituo cha Awali Lukema Vingunguti

Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Simu nchini Tanzania (TTCL), Nicodemus Mushi (kulia) akimkabidhi Mkurugenzi wa Shirika lisilokuwa la Serikali la...

READ MORE

Tigo yakera wateja wake

Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya simu ya mkononi ya Tigo wikiendi iliyopita iliwakera wateja wake baada ya huduma zao kutoweka...

READ MORE

Rais Magufuli atinga Muhimbili ghafla, aongea na wagonjwa

Rais Dk. Magufuli akitokea katika ofisi ya Mkurugenzi wa MOI. Rais Dk. Magufuli akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa MOI....

READ MORE

I depart the State House a Happy Man – Salvatory Rweyemamu

Out-going Presidential Communications Director at the State House Mr. Salvatory Rweyemamu speaks during one of the past many Press Conferences...

READ MORE

Dk. Hellen Kijobisimba apata ajali

Mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dk. Hellen Kijobisimba Mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na Haki...

READ MORE

Dk. Magufuli amuapisha Mwanasheria Mkuu

Rais wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli leo asubuhi amemuapisha Bwana George Mcheche...

READ MORE

‘Cocktail Party’ ya kusherehekea kuapishwa kwa Rais Dk. Magufuli

 Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiwasili kwenye viwanja vya Ikulu jijini Dar es salaam Alhamisi...

READ MORE

Viongozi wawasili Kushuhudia Uapisho wa Rais Mteule Dkt.Magufuli

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mh. Bernard Membe (katikati chini) akimsubiria Rais wa Zimbabwe Mhe. Robert...

READ MORE

Baraza la wazee Dar lampongeza Dk Magufuli kwa ushindi‏

Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Mkoa wa Dar es Salaam, Hemed Mkali (kulia) akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari,...

READ MORE

Rais Kikwete amwapisha katibu tawala mpya wa Mkoa wa Lindi

Katibu Tawala Mpya wa Mkoa wa Lindi Bwana Ramadhani Kaswa akila kiapo mbele ya Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete Ikulu...

READ MORE

Rais JK atangaza kesho kuwa sikukuu na siku ya mapumziko

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete. TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Rais wa Jamhuri...

READ MORE

Mazoezi ya kuapishwa Rais Mteule Dk. Magufuli yapamba moto Dar‏

Kibanda cha kitakachotumika wakati wa kuapishwa kwa Rais Mteule, Dk John Magufuli kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...

READ MORE

T.B Joshua atua Dar kushuhudia kuapishwa Dk. Magufuli

Rais mteule wa awamu ya tano, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli alimpokea Mhubiri wa kimataifa kutoka Nigeria TB Joshua Uwanja...

READ MORE

Al Shabaab waua 15 hotelini Mogadishu

Hoteli iliyoshambuliwa na Kundi la Al Shabaab. TAKRIBANI watu 15 wamepoteza maisha katika shambulio lililofanywa na wanamgambo wa Al Shabaab...

READ MORE