×

Habari

BREAKING NEWS: Maalim Seif Atangaza Kuhamia ACT-Wazalendo – Video

ALIYEKUWA Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad,  leo Jumatatu Machi 18, 2019, ametangaza yeye, viongozi...

READ MORE

PEMBA: OFISI ZA CUF ‘ZABADILISHWA’ KUWA ZA ACT-WAZALENDO

TASWIRA katika Chama cha Wananchi (CUF) inazidi kunoga! Hivi ndivyo unavyoweza kusema kufuatia baadhi ya ofisi za chama hicho Zanzibar...

READ MORE

Mahakama Kuu ‘Yazipiga Pini’ Mali za Yusuf Manji

MAHAKAMA Kuu imezuia mali za mfanyabiashara maarufu nchini, Yusuph Manji, kutokana na madeni anayodaiwa na Benki ya NBC.   Manji anadaiwa...

READ MORE

MGOMO WA MADREVA WATIKISA MBEYA

  Madereva wa daladala jijini Mbeya wamegoma kusafirisha abiria kuanzia alfajiri ya leo Jumatatu, Machi 18, 2019 kwa kile walichokilalamikia...

READ MORE

UKITAKA KUFUNGUA HUDUMA YA CARTERING, FUATA HATUA HIZI RAHISI

  Miongoni mwa huduma ambazo zimekuwa kimbilio la wajasiriamali wengi, ni huduma ya kutoa huduma ya vyakula kwenye sherehe au...

READ MORE

Breaking: Prof Lipumba Ashinda Kesi, Sasa Ni Mwenyekiti Halali wa CUF

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo, Machi 18, 2019,  imetoa hukumu inayotambua Profesa Ibrahim Haruna Lipumba kuwa Mwenyekiti...

READ MORE

Benki ya NBC yanogesha uzinduzi wa Shika Ndinga ya EFM Redio

    BENKI ya NBC imesema itaendelea kusogeza huduma zake karibu zaidi na wananchi ili kuweza kukidhi mahitaji ya wale...

READ MORE

PM Majaliwa Azindua Soko la Dhahabu Geita, Atoa Onyo

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ametoa tahadhari kwa wadau wote wa madini kuwa atakayekamatwa anatorosha madini, atachukuliwa hatua za kisheria ikiwemo...

READ MORE

Matola Aanika Alivyoibana Yanga

KOCHA Msaidizi wa Lipuli, Selemani Matola, amesema kuwa alitumia CD za Yanga kuwasoma mbinu zao pamoja na uzoefu alionao kwenye...

READ MORE

Kimbunga ‘Idai’ Chaua Watu 65 – Picha 12

  WATU 65 wamekufa mashariki mwa Zimbabwe kutokana na eneo hilo kukumbwa na kimbunga kiitwacho Ida. Kati ya watu waliopoteza...

READ MORE

Kangi Lugola Awapima Madereva Walevi Moro

WAZIRI wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola amefanya operesheni kubwa ya kukagua na kupima ulevi wa pombe kwa madeveva wa...

READ MORE

Polisi Yaua Jambazi Tanga

JESHI la Polisi wilayani Muheza mkoani Tanga limemuua kwa kumpiga risasi Mkazi wa Dar es Salaam, Mwinyiheri Nuhu, likidai alikuwa...

READ MORE

Masau Bwire: OCS Aridhiki Anastahili Pongezi

  OCS Aridhiki, wa kituo cha polisi, Tabata, Dar Es salaam, anastahili pongezi, ni mfano wa kuigwa, ana kasi inayoendana...

READ MORE

BREAKING NEWS: NASSARI AFUNGUKA “NAKWENDA MAHAKAMANI”

  Aliyekuwa Mbunge wa Arumeru Mashariki (Chadema), Joshua Samwel Nassari amefunguka juu ya kuvuliwa ubunge kwa kudaiwa kutoshiriki vikao vya...

READ MORE

ARDHI KUSAJILIWA KIELEKTRONIKI KWA SHILINGI 5,000

  WIZARA ya Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi imezindua rasmi mpango wa kutambua na kusajili kila kipande cha ardhi kwa...

READ MORE

TFS YAHIMIZA WATANZANIA KUTUNZA MISITU KWA AJILI YA VIZAZI VYA SASA NA VIJAVYO

WAKALA wa Huduma za Misitu Tanzania(TFS) umewahimiza Watanzania kutunza misitu kwa ajili ya kizazi cha sasa na kijacho huku ikifafanua...

READ MORE

RAY C ATOA SABABU KUTOMZIKA RUGE

VUNJA ukimya! Sexy lady wa Bongo Fleva, Rehema Yusuf Chalamila ‘Ray C’ ametaja sababu ya kutomzika Mkurugenzi wa Vipindi na...

READ MORE

QNET yatoa fursa ya ‘kufanya kazi kwa bidii na kuleta mabadiliko chanya’

Machi 16, 2019, Dar es Salaam: Kampuni yenye asili ya Asia ya mauzo ya moja kwa moja QNET imeendesha maonyesho...

READ MORE

WOLPER KWENYE MAOMBI MAZITO TAMASHA LA DAUGHTERS OF ZION – PICHAZ

MSANII maarufu wa filamu nchini, Jacquiline Wolper ameungana na mastaa wenzake, waumini na wananchi wengine kuhudhuria katika Tamasha la Daughters of...

READ MORE

JPM AWASHTUKIZA MAGEREZA UKONGA, AFANYA MAAMUZI MAGUMU – VIDEO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli tarehe 16 Machi, 2019 amefanya ziara ya kushtukiza...

READ MORE

Aliyeua Watu 49 New Zealand Jana, Afikishwa Mahakamani

Mshukiwa namba moja wa shambulio la kigaidi lililotokea jana nchini New zealand jijini Christchurch, na kuua watu 49, Brenton Terrant...

READ MORE

Profesa Lipumba amtangaza mrithi wa Maalim Seif CUF

Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba amemtangaza Khalifa Suleiman Khalifa kuwa katibu mkuu wa chama hicho.   Mbali na Khalifa,...

READ MORE

Waziri Aagiza Kuongezwa Dalala 10 Kusaidia Mwendokasi

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Selemani Jafo, ameagiza kuongezwa kwa mabasi...

READ MORE

KAMATI YA BUNGE YARIDHISHWA NA UKARABATI CHUO KIKUU ARDHI

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Ndalichako akimkabidhi Kaimu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Huduma na Maendeleo...

READ MORE

Gari la Wanafunzi Lagonga Treni, Mmoja Afariki

Gari la abiria lenye namba za usajili T930 DML aina ya Toyota Coaster lililobeba wanafunzi wa sekondari limegonga Treni eneo...

READ MORE

MZEE MAGALI Awashangaa Bongo Muvi

MSANII wa Bongo Muvi aliyehamishia makazi yake Chicago nchini Marekani, Charles Magali ameshangazwa na mastaa wakubwa wa filamu kugalagazwa na...

READ MORE

QNET Kuleta bidhaa zake za kuboresha maisha nchini Tanzania

  Kampuni yenye asili ya Asia ya mauzo ya moja kwa moja QNET itaendesha maonyesho ya bidhaa na huduma zake...

READ MORE

KIFO CHA MLINZI CHAIBUA UTATA!

BUKOBA: Utata! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya aliyekuwa mlinzi kwenye makampuni mbalimbali, Edward Rweyemamu Ngamera Mkazi wa Nyakanyasi, Manispaa ya...

READ MORE

TTCL YAZINDUA ENEO MAALUM LA MAPOKEZI MAKAO MAKUU

  SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania (TTCL) leo limezindua eneo la mapokezi ya shirika hilo lililopo Makao Makuu ya Shirika, jijini...

READ MORE

Makonda Amtmbelea Mtoto Hamis, Muhimbili, Amshushia Maombi – Video

MKUU wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, leo Machi 15, 2019 amemtembelea na kumjulia hali mtoto Hamisi ambaye...

READ MORE

Mwili wa Mwanafunzi Aliyeuawa Wakutwa Kichakani

MWANAFUNZI wa kidato cha kwanza katika shule ya sekondari ya Yungwe wilayani Nyang’hwale Mkoani Geita, Alex Pastory amekutwa ameuwawa kwenye...

READ MORE

KAULI ya POLISI Kuhusu Kijana Aliyesingiziwa Kesi, Akaokolewa na JPM – Video

Makao Makuu ya Jeshi la Polisi nchini kupitia msemaji wake, Ahmed Msangi limefafanua kuhusu kijana, Mussa Sadiki, aliyemundikia barua, Rais...

READ MORE

JEAN-PIERRE BEMBA ALIPWA BIL 180 KWA KUFUNGWA BILA HATIA

ALIYEKUWA Makamu wa rais nchini DRC, Jean-Pierre Bemba, na ambaye alihukumiwa na Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) kwa uhalifu...

READ MORE

Mbowe Afunga Mjadala wa Lowassa, Amtaja Dkt. Slaa!

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema uamuzi uliofanywa na Waziri Mkuu wa zamani, Edward Ngoyai...

READ MORE

BREAKING: Watu 49 Wauawa Katika Shambulio la Kigaidi New Zealand

WAZIRI Mkuu wa New Zealand, Jacinda Ardern, amesema watu 49 wameuawa na wengine zaidi ya 20 kujeruhiwa vibaya baada ya...

READ MORE

BREAKING: MBOWE ASEMA KUNA UGONJWA WA ‘BURUDANI’ GEREZANI – VIDEO

MWENYEKITI  wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Taifa, Freeman Mbowe,  amesema amekutana na mambo mengi ya kuumiza alipokuwa mahabusu...

READ MORE

Wafutiwa shitaka la mauaji baada ya Rais Magufuli kuamuru uchunguzi

MKURUGENZI wa mashtaka nchini (DPP), Biswalo Mganga, amewafutia shitaka la mauaji watuhumiwa Musa Sadiki na Edward Matiku baada ya agizo...

READ MORE

BAADA YA KUVULIWA UBUNGE, NASSARI AMJIBU SPIKA NDUGAI

IKIWA ni saa chache baada ya Spika wa Bunge, Job Ndugai,  kutangaza kumvua Ubunge, aliyekuwa Mbunge wa  Arumeru Mashariki, Joshua...

READ MORE

SHUHUDIA MTAMBO WA KISASA WA ASALI

UFUGAJI wa nyuki katika mkoa wa Singida unatarajiwa kuongeza tija kwa wafugaji kutokana na kuanzishwa kwa mtambo wa kisasa wa...

READ MORE