×

Habari

Download App namba moja Tanzania kwa Habari Hapa

Hujachelewa, download Application namba moja Tanzania kwa Habari za Kitaifa, Kimataifa, Burudani, Matukio, Breaking News na Exlusive Interview za mastaa...

READ MORE

MREMBO AKUTWA MTUPU KAZINI, INASEMEKANA ALIKUWA AKINANILIU….!

MREMBO Betty Kitoo kama alivyojieleza, Alhamisi mchana wiki iliyopita alipatwa na aibu baada ya kukutwa akiwa mtupu kazini kwake.  Kilichomfanya akae...

READ MORE

KISA DILI LA KUSUKA BINTI APATA MAJANGA MAZITO!

DUNIANI kuna taabu, lakini jipe moyo! Mwanadada aitwaye Adelina Peter (25) (pichani), mkazi wa Yombo-Kilakala jijini Dar, amepatwa na janga...

READ MORE

HATIMAYE MUSWADA WA VYAMA VYA SIASA WATUA BUNGENI – VIDEO

Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya vyama vya Siasa wa mwaka 2018 umewaasilishwa bungeni leo Jumanne Januari 29, 2019 na...

READ MORE

Hakimu Afikishwa Kortini kwa Tuhuma za Kupokea Rushwa Tsh 710,000

Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo ya Ukonga jijini Dar es Salaam, Dickson Mwasenga (46), amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya...

READ MORE

KIZAAZAA! BALAA LA BUNDI ALIVYOTUA BUNGENI, SPIKA HOI – VIDEO

Katika hali isyo ya kawaida Ndege aina ya bundi ameonekana Bungeni akiwa juu kabisa ambapo Spika wa bunge, Job Ndugai,...

READ MORE

KIMENUKA NJOMBE! WANANCHI WAMSAKA MTEKAJI, POLISI WAMWAGA MABOMU

POLISI mkoani Njombe imelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wananchi walioandamana katika baadhi ya mitaa wakiwa na madai ya kutaka...

READ MORE

SIMANZI NJOMBE! MAZISHI YA WATOTO 3 WA FAMILIA MOJA WALIOUAWA

HALI ya majonzi, vilio na simanzi ilitawala katika kijiji cha Ikando Kata ya Kichiwa, wakati wa mazishi ya miili ya...

READ MORE

MAGUFULI AWAONYA MA-DC WANAOWASWEKA NDANI WATUMISHI – VIDEO

RAIS John Magufuli amewataka wakuu wa wilaya na viongozi wengine nchini kutotumia mamlaka yao vibaya kwa kuwaweka ndani baadhi ya watendaji...

READ MORE

Magufuli: Amebaka watoto 11 mmemwachia, mnataka abake wangapi? – VIDEO

RAIS  John Magufuli ameshangazwa na kitendo cha vyombo vya dola kushindwa kumshughulikia mtuhumiwa anayedaiwa kubaka watoto 11 wilayani Mufindi mkoani...

READ MORE

Kesi ya ‘Uchochezi’ Inayomkabili Zitto Kabwe Yaahirishwa

    MAHAKAMA  ya Hakimu Mkazi Kisutu leo imekwama kuanza kusikiliza ushahidi wa kesi ya uchochezi inayomkabili, kiongozi wa chama...

READ MORE

MAREKANI YAISHTAKI KAMPUNI YA HUAWEI

  MAREKANI imeishtaki kampuni kubwa ya mawasiliano ya China, Huawei,  na ofisa mkuu wake wa fedha, Meng Wanzhou.   Mashataka...

READ MORE

Askari JWTZ Afariki Akijiokoa Kubakwa na Fundi Ujenzi

ASKARI wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) kambi ya Tabora, Esther Gway,  amefariki wakati akijiokoa katika tukio la ubakaji lililotekelezwa...

READ MORE

JPM Aeleza Kwa Nini Hakumteua DPP Kuwa Jaji – Video

RAIS  John Magufuli amesema miongoni mwa majina aliyopelekewa yakiwa yamependekezwa kuteuliwa kuwa majaji ni Mkurugenzi wa Mashtaka wa Serikali (DPP)  Biswalo...

READ MORE

Baada ya Kuhama CUF, Mtolea Aapishwa na Ndugai – Video

Aliyekuwa Mbunge mteule Abdallah Mtolea ameapishwa na Spika wa Bunge, Job Ndugai kuwa Mbunge kamili wa Temeke (CCM) wakati wa kuanza...

READ MORE

MA-RC WAKABIDHIWA AWAMU YA PILI YA VITAMBULISHO VYA WAMACHINGA

                                       ...

READ MORE

Pumzika Mama Abdul, Hivi Ndivyo Alivyozikwa – VIDEO

HATIMAYE mwili wa aliyekuwa muigizaji mkongwe wa Bongo Muvi, Salome Nonge maarufu kwa jina la Mama Abdul leo Januari 28, 2019...

READ MORE

MIEZI MIWILI BAADA YA NDOA…. MISS TZ AFUMANIWA, ALA KICHAPO!

DUNIA ina mambo! Wakati wanawake wengi waki­itamani ndoa ili kujijengea heshima, mambo yamekuwa tofauti kwa mshiriki wa Miss Tanza­nia 2008,...

READ MORE

MAPYA YAIBUKA! SERIKALI YAMRUDISHA TIDO KORTINI

IKIWA ni siku tatu tu tangu aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Tido Mhando,  aachiwe huru baada...

READ MORE

Kilichotokea Leo Mahakamani Polisi Waliosindikiza Dhahabu Mwanza

SHAURI namba 1/2019 la uhujumu uchumi, rushwa na kutakatisha fedha dhidi ya watu 12 wakiwemo askari polisi wanane katika mahakama...

READ MORE

Wananchi Wachoma Kanisa Wakidai Linaleta Pepo Wachafu

WANANCHI wenye hasira kali wanadaiwa kuvamia katika eneo la Kanyogoga Wilaya ya Gulu nchini Uganda na kuchoma Kanisa moja muda...

READ MORE

WANAFAMILIA WALIOFARIKI KWA KULA CHAKULA CHENYE SUMU WAONGEZEKA

IDADI ya wanafamilia waliokufa kutokana na kula chakula kinachosadikiwa kuwa na sumu katika Kijiji cha Shanake, Kiuyu-Mbuyuni Wilaya ya Micheweni,...

READ MORE

TEDEF WAONGOZA KONGAMANO LA KUMPONGEZA MAGUFULI

SHIRIKA lisilo la kiserikali la Tanzania Ecomic Diplomacy Elevation Foundation (TEDEF)  kwa kushirikiana na mashirika mengine yasiyo ya kiserikali, juzi (Jumamosi)...

READ MORE

Beki Mghana Azam FC ampa matumaini Pluijm

BEKI wa kati wa Azam FC, Mghana, Daniel Amoah, amerejesha matumaini kwenye kikosi cha Mholanzi, Hans van Der Pluijm kinachoshiriki...

READ MORE

NMB yafuta tozo mbalimbali kwa wateja

KATIKA kuharakisha kasi ya maendeleo ya mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla, ikiwemo kuchagiza idadi ya Watanzania wanaotumia huduma...

READ MORE

BREAKING: UTEUZI MPYA, MAJAJI WAULA, WAKUU WA WILAYA WATUMBULIWA -VIDEO

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais John Magufuli amefanya uteuzi mpya jioni hii wa majaji na wakuu wa...

READ MORE

NYUMBA YATEKETEA KWA MOTO MAGOMENI DAR

Ajali ya Moto imetekeza nyumba iliyopo Magomeni Kagera mtaa wa Texas Jijini Dar es salaam Mchana wa leo. Chanzo cha...

READ MORE

DTB TANZANIA YAENDESHA WARSHA KWA WATEJA DODOMA

  Benki ya DTB-Tanzania, leo imeendesha warsha ya siku moja kwa wateja wake wenye biashara ndogondogo na kati waliopo katika...

READ MORE

MTOTO WA KALAJA BAADA YA KUFELI ATIWE MOYO

Baada ya matokeo ya kidato cha nne kutoka hivi karibuni, mtoto wa msanii maarufu Kajala, Paula imefahamika kuwa amefeli na...

READ MORE

BRAZIL: WATU 34 WAMEFARIKI BAADA YA BWAWA KUPASUA KINGO ZAKE

Watu 200 hawajulikani waliko baada ya bwawa la maji kuvunja kingo zake katika mgodi wa kampuni ya chuma kusini mashariki...

READ MORE

Tundu Lissu Kufanya Ziara Marekani

Mwanasheria Mkuu wa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu anatarajiwa kuanza ziara ya kikazi katika nchi mbili...

READ MORE

Dkt Abbas: “Wanaokosoa Miradi ya Serikali ni wa kupuuzwa”

  MKURUGENZI Mkuu wa Idara ya Habari (Maelezo) na Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassani Abbas, mapema leo amepata fursa...

READ MORE

UNYAMA! Wavuvi 4 Wauawa Baharini Kikatili, Kisa Kitakuliza – VIDEO

WATU wanne ambao walikuwa wavuvi, wanadaiwa kuuawa kinyama huku wengine kadhaa wakiwa hawajulikani walipo.   Katika tukio hilo lililojiri hivi...

READ MORE

Mbeya: Aliyeoa Yatima Mlemavu Gumzo, Wanavyoishi Utashangaa! – Video

  WAKATI wanandoa wasiyokuwa na ulemavu hata wa kidole gumba wakiishi maisha ya kutwangana makonde na kununiana, hali ni tofauti...

READ MORE

Inasikitisha! Watoto Watano wa Familia Moja Wafariki, Sumu Yatajwa

WATOTO watano wa familia moja wakazi wa Shehia ya Shanake, Wilaya ya Micheweni,  Pemba, wamefariki dunia na wengine wawili wamelazwa...

READ MORE

RC Makonda: “Mdee, Msigwa Ole Wenu Mtukane” – Video

Mkuu wa Mkoa wa Dsm Paul Makonda amezindua mabweni ya wanafunzi katika Shule ya Mtakatifu Joseph inayomilikiwa na Kanisa Katoliki,...

READ MORE

Mbaroni kwa Kumbaka na Kumuweka Unyumba Mwanafunzi Darasa la 4

Linus Mayaya (35), mkazi wa kijiji cha Kateka, Kalambo mkoani Rukwa, ametiwa matatani kwa kudaiwa kumbaka mwanafunzi wa darasa la...

READ MORE