×

Habari

Breaking News: Spika Ndugai Kusimamishia Mshahara wa Tundu Lissu – Video

SPIKA wa Bunge Job Ndugai amesema ipo haja ya kusimamisha Mshahara na Malipo yote ya Mbunge wa Singida Mashariki Tundu...

READ MORE

Marekani Kununua Mfumo wa Israel wa Kujilinda Dhidi ya Makombora

JESHI la Marekani limetangaza mipango ya kutaka kununua mfumo wa ulinzi dhidi ya makombora wa Israel ambao unafahamika kwa jina...

READ MORE

MAKONDA, AONGOZA WASANII KUTEMBELEA MRADI WA SGR (PICHA +VIDEO)

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda,  leo amewaongoza wasanii na waandishi wa habari kwa ajili ya kutembelea...

READ MORE

Bukoba: Kesi ya Walimu Kumuua Mwanafunzi Yaanza Kusikilizwa

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Bukoba imeanza kusikiliza kesi ya mauaji ya kukusudia jana inayomkabili Mwalimu Herieth Jerald wa shule ya...

READ MORE

UNHCR Yamwomba Radhi JPM kwa Kuingiza Nguo Zinazofanana na za Jeshi

KAMISHNA Mkuu wa Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR), Filippo Grandi amemwomba radhi Rais wa Tanzania, John...

READ MORE

Makambako: Mwili wa Mtoto Watelekezwa Kwenye Ndoo

WANAWAKE mkoani njombe wametakiwa kuacha Tabia ya kutoa ujauzito na kutupa watoto wachanga wasio na hatia kwa kisingizio cha Ugumu...

READ MORE

MAISHA YA GEREZANI YA VIGOGO KESI ZA TRILION 2.5 UKWELI WAANIKWA

  YAPO madai mengi mtaani kuhusiana na wafanyabiashara wakubwa na wanasiasa wanaopelekwa mahabusu ama kwa kunyimwa dhamana au kufungwa.  Kwamba, kuna...

READ MORE

Mkulima Aliyedaiwa Kupigwa Risasi Kanisani na Mkurugenzi Azikwa

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa,  Selemani Jafo amelaani vikali vitendo cha watumishi...

READ MORE

HOTUBA: MAGUFULI Amshangaa JAJI MKUU “Umeongea Nini?”

Rais Dkt John Magufuli leo Februari 06, 2019, amekuwa Mgeni Rasmi katika kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Sheria Tanzania...

READ MORE

Jaji Mkuu Aagiza Sheria Zote Kuwekwa Mtandaoni – Video

JAJI Mkuu Profesa Ibrahimu Juma, amemtaka Mwanasheria Mkuu wa Serikali kuweka sheria zote mtandaoni ili Watanzania wote wapate kuzifahamu. Amesema...

READ MORE

Harmonize Ajisalimisha Polisi Sakata la dawa za kulevya

Mwanamuziki wa Bongo Fleva kutoka kundi la WCB Wasafi, Harmonize anashikiliwa kwa zaidi ya saa tano katika Kituo cha Polisi...

READ MORE

TRUMP KUKUTANA TENA NA RAIS WA KOREA KASKAZINI

  RAIS wa Marekani, Donald Trump, ametangaza kwamba ataanda mkutano wa pili kujadili masuala ya nyuklia na kiongozi wa Korea...

READ MORE

KISA DENTI CHUO KIKUU… BODABODA APELEKWA KUZIMU!

MOROGORO: Kijana mmoja dereva wa bodaboda ambaye jina lake halikufahamika mara moja anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 20, amepokea...

READ MORE

DIMPOIZ: ‘NILIKULA SUMU’ USAHA ULIKARIBIA KWENYE MAINI

MSANII wa Bongo Fleva, Omary Nyembo maarufu kama Ommy DImpoz amefunguka A-Z kuhusu ugonjwa wake wa koo ulivyokuwa ukimsumbua na...

READ MORE

MASTAA BONGO WAANDISHI WA HABARI KUTEMBELEA MRADI WA SGR

WASANII fani mbalimbali wamekutana na waandishi wa habari tarayi kwa ziara maalum ya kutembelea mradi mkubwa wa reli ya kisasa...

READ MORE

IGP SIRRO APANGUA MAKAMANDA WA POLISI, AMWONDOA SHANA MWANZA

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Simon Sirro amefanya mabadiliko ya makamanda wa polisi wa mkoa wa Mwanza na...

READ MORE

BREAKING: JPM Afanya Ziara Channel 10, Magic FM, Awapa Mamilioni na Mjengo – Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. John Magufuli leo Jumanne, Februati...

READ MORE

BREAKING NEWS: WABUNGE WATIMUA BUNGENI BAADA YA ALAMU – VIDEO

TAHARUKI imeibuka Bungeni huku Kikao cha Bunge kikivunjika kwa muda huku wabunge wakilazimika kukimbia kutoka ndani ya Ukumbi wa Bunge...

READ MORE

SHINDANO YA VIPAJI DUCE: ‘INJINIA SOOOMA HIYOOO!”

WANAFUNZI wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Kampasi ya DUCE, wikiendi iliyopita walifanya tamasha la nguvu la kuonyesha...

READ MORE

DED WA ADAIWA KUUA MKULIMA KANISANI KWA RISASI – VIDEO

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Itigi, mkoani Singida, Pius Luhende na Askari wawili wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za...

READ MORE

Nape Nnauye Ajiuzulu

KATIBU wa Bunge, Ndugu Stephen Kagaigai amethibitisha kupokea barua ya mbunge wa Mtama Mh. Nape Nnauye kujiuzulu nafasi ya Mwenyekiti...

READ MORE

SHIZA KICHUYA wa Kimataifa

MAISHA ya winga kipenzi cha mashabiki wa Simba, Shiza Kichuya yanakwenda kubadilika kwa kiasi kikubwa. Alianza mwaka akiumiza kichwa kujua...

READ MORE

Ndugai Aitaka Serikali Ieleze Kuhusu Mauaji ya Watoto Njombe

Spika wa Bunge, Job Ndugai ameiagiza Serikali kutoa kauli kuhusu mauaji ya watoto yanayoendelea mkoani Njombe kabla ya kuahirishwa kwa...

READ MORE

Kesi ya Lissu Yafufuka, Wadhamini Wake Waitwa Kisutu

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeamuru wadhamini wa Mbunge wa Singida Mashariki kupitia tiketi ya Chama cha Chadema, Tundu Lissu...

READ MORE

Serikali Yafanunua Inavyonunua Korosho Chini ya Bei Elekezi ya Sh 3,300 – Video

SERIKALI imetoa ufafanuzi kuhusu madai ya watu wa kada mbalimbali, akiwemo Mbunge wa Mchinga (CUF), Hamidu Bobali,  kuwa korosho inanunuliwa...

READ MORE

HII NDO MBINU MPYA YA KUSAFIRISHA MADAWA YA KULEVYA

WAFANYABIASHARA wa Dawa za kulevya aina ya Mirungi wamebuni mbinu mpya za kusafirisha Dawa hizo kwa kutumia magari ya Kifahari...

READ MORE

Nabii Bushiri mahakamani kwa kutakatisha fedha

NABII wa aina yake asiyeishiwa vituko, Shepherd Bushiri, amefikishwa mahakamani jijini Johannesburg leo ambako yeye na mkewe wanakabiliwa na mashtaka...

READ MORE

MJALIWA AKUTANA na Mwinyi, Lugola, Kabudi na Mahiga

JIUNGE NA FAMILIA YA GLOBAL TV UPANDE MTANDAO WA MAFANIKIO Bofya hapa kujiunga na familia ya Global TV Club ==> Global...

READ MORE

Ubalozi Wa Tanzania Ujerumani Wamjibu Lissu

Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani, Dk Abdallah Possi ametoa tamko akijibu madai ya Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu...

READ MORE

POLISI ALIYEKUTWA AMEKUFA CHUMBANI…SIMANZI

KIFO cha polisi wa Kikosi cha Kuzuia Ghasia (FFU), Justine Alfred Marobo kimeacha simanzi nzito kufuatia askari huyo kuwa kipenzi...

READ MORE

MGUNDUZI WA TANZANITE, MZEE NGOMA AZIKWA SAME

MGUNDUZI wa madini ya Tanzanite na Madini ya Jasi Marehemu Jumanne Ngoma ambaye alifariki katika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini...

READ MORE

CHADEMA WAINGIA VITA NA KARIA, WAMTAKA AMUOMBE RADHI LISSU

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeingia vitani na Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania, Wallace Karia baada ya kutoa...

READ MORE

Baada ya Kuhamishiwa Muhimbili, Rais Magufuli Amtembelea Kitwanga

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli leo Jumamosi, Februari 2, 2019 amemtembelea na mjulia Mbunge wa...

READ MORE

APP YA GLOBAL YAZINDULIWA KAMPASI YA DUCE CHUO KIKUU DAR – VIDEO

Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Kampasi ya DUCE, jana walifanya tamasha la kuonyesha vipaji mbalimbali ikiwemo...

READ MORE

MAPYA YA MTOTO ALIYEKARIRI VIONGOZI WOTE

KAGERA: Mtoto aliyewahi kutikisa kwenye vyombo vya habari na mitandao mbalimbali nchini Itham Mahfudh (4) kutokana na kipaji chake cha...

READ MORE

Kampeni ya Binti CCM kutua Ocean Road

Mwenyekiti wa Binti CCM Kampeni, Debora Charles, amesema kuwa kesho wanatarajia kukutana na wasina na wadau mbalimbali  ili kuweza kuwatia...

READ MORE

Kasesela Anasa Video: Mchungaji Akifanya Mapenzi na Binti wa Mchungaji Mwenzake

MKUU wa Wilaya ya Iringa Mjini Richard Kasesela amelishauri Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania KKKT Dayosisi ya Iringa kumuondoa...

READ MORE