×

Habari

Magufuli Aomboleza Kifo cha Mwanafunzi wa NIT

Rais John Magufuli ametoa pole kwa familia, ndugu, wanafunzi wa Chuo cha Usafirishaji (NIT) na wote walioguswa na kifo cha...

READ MORE

CCM Yaibuka Kidedea Ubunge Kinondoni na Siha (Videos)

TUME ya Uchaguzi (NEC) imemtangaza Maulid Mtulia wa Chama cha Mapinduzi(CCM) kuwa mshindi wa uchaguzi mdogo wa Ubunge, Jimbo la...

READ MORE

Tamko la CHADEMA Kuhusu Kuyakataa Matokeo ya Uchaguzi wa Marudio

Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr. Vicent Mashinji imeeleza kuwa baada ya upigaji wa kura katika uchaguzi kumalizika...

READ MORE

Matokeo ya Uchaguzi: Dkt. Mollel Aibuka Kidedea Ubunge Siha

Mgombea Dkt. Godwin Mollel (CCM) ameibuka mshindi wa kiti cha ubunge katika uchaguzi mdogo wa jimbo la Siha mkoani Kilimanjaro...

READ MORE

Mwigulu Aagiza Wakimbizi Warejeshwe Kwao Haraka

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dkt. Mwigulu Nchemba  ameliagiza Shirika la Kuhudumia Wakimbizi Duniani (UNHCR)  kuwaondoa wakimbizi 32,000...

READ MORE

CCM Yaitupia Lawama Chadema Zoezi la Uchaguzi

Tamko la Chama Cha Mapinduzi (CCM) likilaani CHADEMA kuwa chanzo cha vurugu zilizojitokea kwenye chaguzi. CCM imesema ukaidi wa CHADEMA...

READ MORE

Tazama Matokeo ya Uchaguzi Siha Kutoka Vituo Mbalimbali

MATOKEO ya awali ya uchaguzi wa ubunge Jimbo la Siha  yameanza kubandikwa nje ya vituo vya kupigia kura yakionyesha mgombea...

READ MORE

Tazama Matokeo ya Uchaguzi Kinondoni Kutoka Vituo Mbalimbali

HAPA nimekuwekea matokeo ya awali ya uchaguzi wa ubunge Jimbo la Kinondoni yameanza kubandikwa nje ya vituo vya kupigia kura...

READ MORE

Mambosasa: Uchaguzi wa leo tutawadhibiti wahalifu

    Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, SACP Lazaro Mambosasa amesema kuwa jeshi lake limeimarisha ulinzi wa...

READ MORE

Mkuu wa Chuo cha Mwanafunzi Aliyepigwa Risasi Afunguka (Video)

Mkuu wa Chuo cha Usafirishaji NIT, Zakaria Mganilwa ameeleza masikitiko yake baada ya kupokea taarifa rasmi ya kifo cha mwanafunzi wao,...

READ MORE

LIVE UPDATES: Matukio ya Uchaguzi Kinondoni na Siha, ITV Yatakiwa Kuomba Radhi Nec

Mgombea wa ubunge Jimbo la Kinondoni (CHADEMA), Salum Mwalimu tayari ameachiwa, ni baada ya kuwekwa chini ya ulinzi katika kituo...

READ MORE

NIT Yakiri Aliyepigwa Risasi na Polisi Ni Mwanafunzi Wao

Chuo cha Usafirishaji cha Taifa (NIT) kimesema aliyepigwa risasi jana Februari 16, 2018 eneo la Mkwajuni jijini Dar es Salaam...

READ MORE

Polisi Yakiri Kumpiga Risasi Raia Kwenye Maandamano ya Chadema

  Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amekiri kuwa mtu mmoja alipigwa risasi na polisi...

READ MORE

Breaking News: Salum Mwalimu Akamatwa na Polisi

MGOMBEA  ubunge wa Chadema Kinondoni, Salum Mwalimu amekamatwa na polisi kituo cha kupigia kura cha Idrisa Kata ya Magomeni. Akizungumza...

READ MORE

Uchaguzi Kinondoni: Mkurugenzi Afafanua Mawakala Kuzuiwa Kuingia

Wakati baadhi ya vituo vya kupigia kura katika uchaguzi wa jimbo la Kinondoni mawakala wa vyama vya siasa wamezuiwa kuingia...

READ MORE

SALUM MWALIMU: NIPO TAYARI KWENDA JELA YOYOTE

MGOMBEA Ubunge wa jimbo la Kinondoni, Salum Mwalimu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA), amesema yupo tayari kuitwa...

READ MORE

CHADEMA WALALAMIKA BAADHI YA MAWAKALA WAO KUZUILIWA VITUONI

CHAMA cha Demokrasia na Maendelo (Chadema), kimezungumza kuhusu zoezi la uchaguzi mdogo unaoendelea katika majimbo ya Kinondoni Dar es Salaam...

READ MORE

Mgombea Ubunge CCM, Maulid Mtulia Akipiga Kura Yake – (Video)

Mgombea Ubunge Jimbo la Kinondoni kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Maulid Mtulia, amepiga kura asubuhi hii ya Feb....

READ MORE

Yanga Yabeba Viroba Vya Mchele Shelisheli

YANGA wamepania kuvuka hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa kuitoa St Louis ya Shelisheli na imepanga kuondoka...

READ MORE

Mwigulu Atoa Maagizo kwa IGP Sirro Kuhusu Mauaji Kinondoni

WAZIRI wa Mambo ya Ndani, Dkt. Mwigulu Nchemba ameliagiza Jeshi la Polisi kufanya uchunguzi kina kuhusu tukio la mauaji ya...

READ MORE

MABASI 70 YA MWENDOKASI YAMWAGWA DAR  

      KAMPUNI itoayo huduma ya usafirishaji wa abiria kwa mabasi ya mwendo wa haraka jijini Dar,(Udart) imeingiza mabasi...

READ MORE

Mambosasa Amkamata Mlemavu Anayedaiwa Kuwa Kinara wa Madawa

  JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limemkamata kijana mmoja ambaye ni mlemavu wa miguu anayedaiwa kuwa...

READ MORE

WAKALA WA HUDUMA ZA MISITU WAWAZAWADIA WAFANYAKAZI WA GLOBAL GROUP

Katika kusherehekea Sikukuu ya Wapendanao, maafisa kutoka Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania jana walitoa zawadi kwa wafanyakazi wa Kampuni...

READ MORE

VILANISHI VYA MAGARI, NDEGE VYAINGIA NCHINI

  KAMPUNI ya Liqui Moly imeingiza bidhaa mpya za  oili  na vilainishi vya magari na mitambo kutoka nchini Ujerumani.  ...

READ MORE

NEC YAJIBU HOJA 6 ZA CHADEMA

  Jana 15/02/2018 baadhi ya viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wakiongozwa na Mwenyekiti wa Taifa Freeman Mbowe,...

READ MORE

WATANZANIA WA MAREKANI WACHANGIA MRADI OFISI ZA WALIMU

  MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda,  amepokea makontena ishirini kutoka kwa Watanzania waishio Marekani yakiwa na...

READ MORE

Chadema Yakanusha Kususia Uchaguzi Kesho

CHAMA cha Demaokrasia na Maendeleo (Chadema) kimekanusha taarifa inayosambaa mitandaoni kuwa wamejitoa kwenye uchaguzi mdogo wa ubunge kwa majimbo ya...

READ MORE

Mambosasa Azungumzia Wanaodaiwa Mabaunsa wa Kuchafua Uchaguzi

  KAMANDA wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amefunguka kuwa amepata tetesi kuwa kuna mabaunsa wanaodaiwa...

READ MORE

Moshi: Mzungu Ahukumiwa Jela Maisha kwa Madawa ya Kulevya

  KILIMANJARO: Mahakama Kuu Kanda ya Moshi imemhukumu kifungo cha maisha jela mwanamuziki Christina Biskasevskaja (26) raia wa Lithuania kwa...

READ MORE

Dkt. Slaa Amwahidi JPM Kulitumikia Taifa kwa Juhudi

IKIWA ni dakika chache baada ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli, kuwaapisha Dkt. Wilbrod Peter Slaa kuwa Balozi wa Tanzania...

READ MORE

Mtoto Arudishwa Tanzania, Baada ya Wazazi Kunaswa na Madawa China

WATANZANIA wawili mume na mke waliotambulika kwa majina ya Baraka Malali na mkewe Ashura Mussa wamekamatwa na dawa za kulevya...

READ MORE

Dkt. Slaa Apangiwa Ubalozi Sweden, Kuapishwa Leo Ikulu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli leo Februari 16, 2018 saa 3 asubuhi atawaapisha Dkt....

READ MORE

Aliyeanguka kwa Makonda Siri Yafichuka Amana

Mapya zaidi yanayomhusu yule Mkuu wa Idara ya Ardhi, Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam, Paul Mbembela ambaye mwishoni...

READ MORE

Kisa Penzi la Miss Tanzania… Mbasha Aitikisa Ndoa ya Masanja

  Kisa kikidaiwa kuwa ni penzi la Miss Tanzania 2008, Jacqueline Chuwa ‘Jack’, muimbaji wa nyimbo za Injili, Emmanuel Mbasha...

READ MORE

Esha Asimulia Alivyotaka Kujiua na Mwanaye!

UKITAJA listi ya wasanii wanaofanya vizuri kwenye filamu Bongo, huwezi kuacha kulitaja jina la Esha Buhet ambaye alianza kun’gara kwa...

READ MORE

MAJALIWA AZINDUA MADARASA SEKONDARI YA NYEHUNGE, SENGEREMA

  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua moja ya darasa  wakati alipozindua madarasa ya Kidato cha Tano na Sita katika Shule...

READ MORE

Bunge Lamchagua Cyril Ramaphosa Kuwa Rais wa Afrika Kusini

BUNGE la Afrika Kusini limemchagua Mwenyekiti wa chama tawala cha ANC Cyril, kuwa Rais wa mpito wa nchi hiyo, mpaka...

READ MORE