×

Kitaifa

MPIGACHAPA MKUU WA SERIKALI MPYA ATAMBULISHWA RASMI

      Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu) Profesa Faustin Kamuzora, amemtambulisha rasmi Mpigachapa MKuu wa...

READ MORE

NEC: Ubalozi wa Marekani Wametoa Tathmini Wakiwa Nani? – Video

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema imeshangazwa na taarifa iliyotolewa na Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania, jana Agosti 8,...

READ MORE

Sirro: Mwandishi Aliyepigwa Taifa, Alimkaba Askari – Video

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro amesema kuwa mwandishi wa habari aliyepigwa na polisi wakati akitekeleza majukumu...

READ MORE

MAHAKAMA KUU KANDA YA MBEYA YAPATA JAJI MFAWIDHI

Watumishi wa Mahakama Kanda ya Mbeya wametakiwa kufanya kazi kwa ushirikiano bila kujali vyeo na kufanya kazi kama timu moja,...

READ MORE

Benki ya Dunia Waikubali Teknolojia ya IP Transit ya TTCL – Video

SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania (TTCL) linalomilikiwa na serikali, limezindua teknolojia mpya iitwayo IP Transit ambayo ni mahsusi kwa kuziunganisha nchi...

READ MORE

MultiChoice yamwaga Bajaj 27 kwa vijana

Meneja Mauzo wa MultiChoice Tanzania Salum Salum akimkabidhi ufunguo wa Bajaji mmoja wa mawakala wapya wa mauzo wa DStv wa...

READ MORE

RC Chalamila Aagiza Wananchi Wakamatwe na Kuswekwa Ndani

MKUU wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila ameliagiza Jeshi la Polisi kuwakamata na kuwaweka ndani wananchi wote wa Kijiji cha...

READ MORE

Lowassa Ajiondoa Monduli

KADA wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Fred Lowassa,  jana Agosti 15 amejiondoa kwenye kinyang’anyiro cha wanawania kuteuliwa na...

READ MORE

MZIMU WA KANUMBA WAMTOKEA MTOTO KONGO

WANANDOA kutoka Jamhuri ya Kidemo-krasia ya Kongo, Numbi Mwilambwe (35) na mkewe Ngoy Mfumuabana (30), wameeleza namna mtoto wao mdogo,...

READ MORE

TCDC YAELEZEA MAANDALIZI YA MAADHIMISHO YA SIKU YA UZAZI WA MPANGO DUNIANI

  KUELEKEA maadhimisho ya Siku ya Uzazi wa Mpango Duniani, Meneja wa Utekelezaji wa Miradi wa Asasi ya Tanzania Communication...

READ MORE

Sirro Afanya Mabadiliko Jeshi la Polisi, Amchomoa Msangi, Mwanza

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro,  amefanya mabadiliko ya Kamanda wa Polisi wa mkoa wa Mwanza na...

READ MORE

Kikwete Amjulia Hali Kigwangalla Muhimbili – Pichaz

  Rais Mstaafu wa awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete jioni ya tarehe...

READ MORE

Mara: Watano Wafariki Dereva Ajalini Akikimbia Askari

WATU watano wamefariki dunia papo hapo na wengine watatu kujeruhiwa mkoani Mara baada ya gari walilokuwa wakisafiria kutoka Busurwa mwambao...

READ MORE

Mstaafu JWTZ Mbaroni Akituhumiwa Kukodisha Silaha kwa Majambazi

ASKARI mstaafu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) anashikiliawa na Jeshi la Polisi Mkoani Morogoro kwa tuhuma za kukodisha...

READ MORE

ZAMU YA LOWASSA KURUDI CCM!

DAR ES SALAAM: Tufani ya Chama Cha Mapin­duzi (CCM) kuwazoa wapin­zani bado inapiga. Duru za kisiasa zinaonesha kuwa sasa anayesubiriwa...

READ MORE

Bagamoyo: Meli ya Yawaka Moto Bandarini

 MELI mali ya kampuni ya Ocean Enterprises Limited ya Zanzibar imeungua moto wakati ikiwa imeegeshwa kwenye ufukwe ya Bahari ya...

READ MORE

Mwakyembe Afunguka Channel 10, Clouds TV, ITV, Kuondolewa Azam TV

WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Harrison Mwanyembe, amezitaka kampuni za visimbuzi za DSTV, Azam na Zuku kwenda kwenda...

READ MORE

BREAKING: CCM Yakanusha Kumpitisha Kalanga Monduli – Video

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Arusha, Loata Sanare amesema kuwa chama hicho bado hakijampitisha Julius Kalanga (aliyetoka...

READ MORE

Hali ya Kingwalla Yazidi Kuimarika – Picha

HALI ya Waziri wa Maliasili na Utali, Dkt. Hamisi Andrea Kigwangalla imeendelea kuimarika vizuri kutokana na matibabu anayopatiwa katika Hospitali...

READ MORE

GLOBAL TV YAPATA SHAVU MKUTANO WA KIMATAIFA

GLOBAL TV ONLINE ambayo ni televisheni namba moja ya mtandao nchini Tanzania, imepata shavu baada kualikwa kushiriki katika semina ya...

READ MORE

DK BASHIRU: Nimemwagiza Lugola Anipe Maelezo, Haiwezekani! – Video

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi, Dkt. Bashiru Ally, amesema amempa maagizo Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola ampe...

READ MORE

VIGOGO CHADEMA WAOMBA KESI ISIMAME KUNGOJEA RUFAA

VIGOGO  tisa wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) akiwemo Mwenyekiti wake, Freeman Mbowe wamewasilisha maombi  ya kutaka kesi hiyo...

READ MORE

AANGUSHA BONGE LA PATI KUWASUTA MASHOGA ZAKE

DAR ES SALAAM: Mama mmoja aliyefahamika kwa jina la Rehema Mohammed Mkome ‘Rais wa Charambe’, mkazi wa Mbagala jijini Dar...

READ MORE

Prof. Chiza Akabidhiwa Hati ya Ushindi Ubunge Buyungu

MBUNGE mteule wa Jimbo la Buyungu, Kakonko mkoani Kigoma kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Prof. Christopher Chiza Kajoro aamepokea hati...

READ MORE

BREAKING: MBUNGE ZUBERI WA CUF AHAMIA CCM – VIDEO

Mbunge wa Liwale, Lindi kwa tiketi ya CUF, Zuberi Kuchauka ametangaza kukihama chama hicho leo Agosti 13, 2018 na kurejea...

READ MORE

KATIBU MKUU CCM: WANANCHI WAMETUELEWA – VIDEO

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema wananchi wamezidi kukiamini na kukielewa ndiyo maana kimekuwa kikiibuka na ushindi katika chaguzi mbalimbali ambazo...

READ MORE

Orodha ya Wakurugenzi Walioteuliwa na Magufuli Leo – Video

RAIS John Magufuli amefanya mabadiliko ya wakurugenzi wa wilaya, manispaa, miji na majiji na ambapo ameteua wakurugwenzi wapya 41 na...

READ MORE

BREAKING: Madiwani Wawili CUF Wahamia CCM – Video

Chama Cha Wananchi (CUF) kimeendelea kupata pigo, baada ya madiwani wake wawili kujivua uanachama wa chama hicho na kuhamia Chama...

READ MORE

Breaking News: Prof. Chiza (CCM) Aibuka Kidedea Ubunge Buyungu

ALIYEKUWA mgombea Ubunge wa Jimbo la Buyungu kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Prof. Christopher Chiza ameibuka mshindi katika...

READ MORE

NAPE: ZITTO WAJUA NAKUHESHIMU?

KUFUATIA Kiongozi wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe kuweka mtandaoni matokeo ya awali ya Ubunge wa Jimbo la Buyungu, Kakonko mkoani...

READ MORE

MTOTO AFA AKIMUAGA MAMA YAKE!

DAR ES SALAAM: AMA kweli hakuna ajuaye saa ya kufa kwake; anayebisha aungane na Risasi Jumamosi katika tukio hili la...

READ MORE

Kigogo Mwingine Jimboni kwa Lowassa Atimkia CCM

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Monduli ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Monduli Mjini (pichani kushoto), Isack Joseph amejiuzulu nafasi...

READ MORE

Tusua Maisha: Marry Mwalingo Akabidhiwa Dinner Set, Mbeya – Video

MWANAMAMA Marry Mwalingo aliyeibuka mshindi wa dinner set katika droo ya nne ya Promosheni  ya Tusua Maisha na Global inayoendeshwa...

READ MORE

MAHAKAMA YA BIASHARA KUTEKELEZA MPANGO MKAKATI  KWA VITENDO

  MTENDAJI, Mahakama Kuu Divisheni ya Biashara, Bw. Willy Machumu amewataka Watumishi wa Divisheni hiyo kuacha kufanya kazi kwa mazoea...

READ MORE

MAISHA MAPYA YA JOKATE USIPIME!

MKUU DAR ES SALAAM: Maisha mapya ya mwanamitindo Jokate Mwegelo yametajwa kuwa ya tofauti na huenda yakampa taabu sana mrembo...

READ MORE

NMB YATOA MAFUNZO KWA VYAMA VYA USHIRIKA VYA WAKULIMA SIMIYU

Benki ya NMB  imetoa mafunzo kwa zaidi  ya Vyama Vya Msingi 1, 000 Vya Ushirika wa Wakulima (AMCOS) ya kilimo na utunzaji...

READ MORE

WASHINDI TUSUA MAISHA NA GLOBAL WAKABIDHIWA ZAWADI ZAO

WASHINDI wa droo ya tano na sita wa Shindano la Tusua Maisha na Global inayoendeshwa na Kampuni ya Global Publishers...

READ MORE

KESI YA AVEVA: MAHAKAMA YATAKA HATI YA MASHITAKA IKAMILISHWE

  Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu  imetoa siku saba kwa upande wa mashtaka kukamilisha mchakato wa kubadilisha hati ya mashtaka...

READ MORE

Uingereza Yatoa Bilioni 307.5 Kuunga Mkono Juhudi za JPM

  Uingereza imetoa msaada wa Sh bilioni 307.5 kwa Tanzania kwa ajili ya kuunga mkono juhudi Rais John Magufuli katika...

READ MORE