×

Kitaifa

Harmorapa: Sijawahi Kuachwa na Mwanamke

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Harmorapa amefunguka na kusema kuwa katika maisha yake hajawahi kabisa kuachwa na mwanamke bali...

READ MORE

Hivi Ni Bongo Movies au Bongo Lala?

NA SIFAEL PAUL | RISASI JUMAMOSI | MKITO NUSUNUSU KATIKA moja ya ngoma zake, mwanamuziki wa Hip Hop Bongo kutoka...

READ MORE

Esha Buhet: Mimba Imeongeza Mahabati Kwa Mume

IMELDA MTEMA -0713 612533 | RISASI JUMAMOSI |MPAKA HOME MAMBO vipi mpenzi msomaji wangu wa safu hii tamu ya Mpaka...

READ MORE

Mchungaji Kizimbani kwa Kufoji Pasipoti

Arusha:  Idara Uhamiaji mkoa wa Arusha imewapandisha kizimbani watu watano,akiwamo mchungaji wa kanisa la Pentecostal kwa kosa la kufoji hati...

READ MORE

Shinda Nyumba Awamu ya Pili: Droo Ndogo ya Tatu Kufanyika Viwanja vya Bakhresa, Manzese

ILE droo ndogo ya tatu ya Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba Awamu ya Pili, iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu, sasa itafanyika...

READ MORE

Tajiri Ammwaga Mrembo Kisa Hawezi Kuzaa

TAJIRI Sir Benjamin Slade (70) aliyemchukua kwa mbwembwe nyingi mrembo mmoja mfanyabiashara, Bridget Convey, wote wakiwa raia wa Uingereza, hivi...

READ MORE

MCT Watangaza Wanaowania Tuzo za Umahiri Uandishi wa Habari

Baraza la Habari Tanzania (MCT)  wametangaza majina ya wateule wanaowania Tuzo za Umahiri katika tasnia ya uandishi wa habari. Akizungumza...

READ MORE

Shughulikieni Tabia, Zikiwashinda Bora Muachane!

Na. Erick Evarist +255 768 811595, Risasi Jumamosi, Mahusiano MAPENZI ni uvumilivu. Watu mnakutana ukubwani, mnaanzisha uhusiano kila mmoja akiwa...

READ MORE

Gabo Afunguka Kuonja Penzi la Wema Sepetu

NA IMELDA MTEMA, RISASI JUMAMOSI, HABARI KUFUATIA uwepo wa madai kuwa amelionja penzi la mwigizaji Wema Sepetu, mkali anayekimbiza kwa...

READ MORE

VIDEO: Tundu Lissu Akabidhi Ramani ya Jengo la Ofisi za TLS

RAIS wa Chama cha Wanasheria Tanzania (TLS), Tundu Lissu amekabidhi ramani ya Jengo la Ofisi za Chama hicho leo Aprili...

READ MORE

Kimenuka! TFF Yampeleka Manara Kamati ya Nidhamu

Kwa mujibu wa Katiba ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), kila mwanafamilia wa mpira wa miguu Tanzania analazimika...

READ MORE

Wolper, Snura Wachuana Kutupia Picha Instagram

MASTAA wa Bongo, Jacqueline Wolper na Snura Mushi wameendela kuchuana kutupia picha kwenye mitandao ya kijamii ambapo hivi sasa mastaa wa...

READ MORE

Mahakama Yatoa Amri Masogange Atiwe Mbaroni

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imetoa hati ya kumkamata msanii, Agnes Gerald maarufu kama Masogange kwa kushindwa kuhudhuria kwenye kesi...

READ MORE

TAZAMA LIVE: Mwili wa Mbunge Macha wa Chadema Waagwa Bungeni – Dodoma

DODOMA: Spika wa Bunge, Job Ndugai, ameongoza waombolezaji kuaga mwili wa Marehemu Dkt Elly Marko Macha Mbunge wa Viti Maalum-CHADEMA...

READ MORE

Maonyesho ya ‘Harusi Trade Fair’ Kufanyika Mei Dar

NA DENIS MTIMA/GPL MAONYESHO ya Tisa yajulikanyo kama “ Harusi  Trade Fair’ yanatarajiwa kufanyika Mei 12 hadi 3 mwaka huu...

READ MORE

Rais Magufuli Awataka Wafanyakazi Kuchapa Kazi

Rais Dkt. John Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) na kuwahakikishia kuwa...

READ MORE

Yusuph Mlela Amtolea Povu Nay wa Mitego

Msanii wa filamu nchini Yusuph Mlela amemtusi staa wa Bongo Fleva, Nay Wa Mitego kwa kile anachodai kuwa msanii huyo...

READ MORE

Mtoto Asombwa na Maji ya Mto Ngerengere Chalinze

MTOTO wa darasa la kwanza katika shule ya msingi Ubena, Tarafa ya Chalinze mkoa wa Pwani aliyefahamika kwa majina ya...

READ MORE

Tanzania Kupeleka Rwanda Walimu wa Kiswahili

Rais wa Tanzania Dkt. John Magufuli amepokea barua yenye ujumbe wa Rais wa Jamhuri wa Rwanda Mhe. Paul Kagame iliyowasilishwa...

READ MORE

Wadau Wa Afya watakiwa kupambana kuimarisha Afya ya Mama

Wadau Wa Afya watakiwa kupambana kuimarisha Afya ya Mama Mjamzito na Mtoto. Wadau mbalimbali wa sekta ya Afya wametakiwa kufanya...

READ MORE

LIVE: Maswali ya Lema na Mbowe kwa Waziri Mkuu Majaliwa

DODOMA: Mkutano wa Saba wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linenendelea mjini Dodoma ambapo kikao cha asubuhi hii...

READ MORE

Daladala Yagonga Treni, Yaua

Na MWANDISHI WETU| GAZETI LA AMANI| HABARI Dar es Salaam: Mtu mmoja amefariki dunia baada ya kutokea ajali ya basi...

READ MORE

Agness Masogange Mahakamani Tena Leo

Msanii Agnes Gerald ‘Masogangeanatarajiwa kupandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam leo wakati kesi yake ya...

READ MORE

Watu Kibao Kutekwa 2017, Hatari Zaidi kwa Wasanii Wapewa Mwongozo

Na GLADNESS MALLYA| RISASI MCHANGANYIKO| HABARI HALI ni tete! Kutokana na matukio ya utekaji yanayoendelea nchini, hali bado ni mbaya...

READ MORE

Watuhumiwa 267 Wakamatwa na Polisi Pasaka

JESHI la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam limesema limewakamata watuhumiwa 267 wa makosa mbalimbali ya uhalifu  wakiwemo wa madawa...

READ MORE

Bakwata Kujadili Mmomonyoko wa Maadili Nchini

BARAZA Kuu la Waislam Tanzania (Bakwata) linatarajia kufanya mkutano utakaojadili hali ya mmomonyoko wa maadili unavyoathiri jamii nchini. Akizungumza na...

READ MORE

Picha+Video: Yanyojiri Bungeni Mjini Dodoma Leo Aprili 19, 2017

Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson  akiongoza kikao cha nane cha Mkutano...

READ MORE

Yanga Yamzuia Msuva Kumzungumzia Fakhi

Musa Mateja, Dar es Salaam, Championi Jumatano UONGOZI wa Yanga kupitia kwa Makamu Mwenyekiti wake, Clement Sanga, umewapiga ‘stop’ wachezaji...

READ MORE

Simba Kufunguka Kinachoendelea Katika Soka Nchini leo

Klabu ya Simba inapenda kuwaarifu waandishi wa habari, itakuwa na mkutano wake ‘MAALUM’ na wanahabari kesho saa tano na nusu...

READ MORE

Dk. Slaa Azungumza Kwa Njia ya Simu Kuhusu Madai ya Kujiunga CUF

Wakati mgogoro ndani ya Chama cha Wananchi (CUF) ukizidi kutokota, Mwenyekiti anayetambuliwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa,...

READ MORE

Prof. Mkumbo Aitaka Dawasco Kuongeza Kasi Utoaji Huduma jijini Dar

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji, Prof. Kitila Mkumbo akizungumza na baadhi ya uongozi wa mamlaka hiyo. KATIBU...

READ MORE

Wataalamu Upasuaji Kujadili Uboreshaji Huduma

WATAALAM na wadau mbalimbali wa masuala ya upasuaji wa binadamu wamekutana jijini Dar es Salaam kujadili namna  wanavyoweza kuongeza huduma...

READ MORE

Shahidi Namba 8 Aisogeza Mbele Kesi ya Scorpion

Salum Njwete ‘Scorpion’ akiingia Mahakama ya Mwanzo Ilala, Dar. Na Richard Bukos na Issa Mnally | GLOBAL PUBLISHERS Kesi ya...

READ MORE

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Aibua Ubadhirifu wa Kutisha Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA)

UBADHIRIFU wa kutisha unaohusisha mabilioni ya fedha, umefichuliwa kwenye Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), ukihusisha uongozi, wafanyakazi, watoa huduma...

READ MORE