×

Michezo

Mayele: Nitatumia Nafasi Zote Kufunga

MARA baada ya kufanikiwa kufunga bao la ushindi katika mchezo wa kirafiki dhidi ya KMKM, mshambuliaji wa Yanga, Fiston Mayele...

READ MORE

Wright: Jamani Solskjaer Kafika Mwisho Man Utd

STAA wa zamani wa Arsenal, Ian Wright, amesema kocha wa Man United, Ole Gunnar Solskjaer, hawezi kubadilisha jambo lolote kwenye...

READ MORE

Yanga Warejea Bongo Kutoka Zanzibar

BAADA ya kukamilisha kambi ya muda Zanzibar kwa ajili ye kujiweka sawa kwa mechi za Ligi Kuu Bara leo Novemba...

READ MORE

Yacouba Atua Tunisia, Apewa Daktari Bingwa

MJUMBE wa Kamati ya Utendaji ya Yanga, Injinia Hersi Said, amesema kuwa kiungo wao mshambuliaji Mburkinabe, Yacouba Songne, anaweza kupona...

READ MORE

Nabi Anataka Rekodi ya Pasi Bongo

KOCHA wa Yanga, Nasrredine Mohamed Nabi, amefunguka kuwa anahitaji timu yake iwe na uwezo mkubwa zaidi wa kumiliki mpira na...

READ MORE

Stars Ndani Ya Madagascar Tayari Kwa Kazi

TIMU ya Taifa ya Tanzania,Taifa, Taifa Stars kesho ina kibarua kingine cha kusaka pointi tatu muhimu mbele ya Madagascar katika...

READ MORE

Ibenge Afunguka Kumweka Benchi Chama

KOCHA Mkuu wa RS Berkane ya nchini Morocco, Florent Ibenge, amefunguka suala la kiungo mshambuliaji wa zamani wa Simba, Clatous...

READ MORE

Meridian Gaming Group Katika Mapambano Dhidi Ya Covid – 19

  Tangu mwanzo wa janga la COVID-19, kampuni zote za Meridian Gaming Group zimekuwa zikifanya jitihada za makusudi katika kuzisaidia...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la championi kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/= iOS :...

READ MORE

Aliyezawadiwa Kitabu cha Shigongo Afunguka

MWANDISHI mahiri wa vitabu Afrika Mashariki na Kati, Eric Shigongo, kupitia magazeti bora ya michezo ya Spoti Xtra na Championi,...

READ MORE

Bamba Tanzania Kero Zinaendelea

RIPOTI kutoka mtaani inasema kuwa huduma ya Miito Bomba kutoka Bamba Tanzania imekuwa ikishika kasi na mashabiki mbalimbali wamekuwa wakijiunga...

READ MORE

Niyonzima Aingia Kwenye Vitabu vya FIFA

NAHODHA wa timu ya taifa ya Rwanda Haruna Niyonzima ameingia kwenye kumbukumbu za FIFA baada ya kuinga kwenye “FIFA’s Century...

READ MORE

Pablo Simba Ashuhudia Stars Akilala kwa Congo DR

Kocha Mkuu Mpya wa Mabingwa wa Soka Tanzania Bara Simba SC Franco Pablo Martin alikuwa sehemu ya mashuhuda wa mchezo...

READ MORE

Matumaini Ya Tanzania Kufuzu Kombe La Dunia 2022 Yazimika

TAIFA Stars jana imetibua matumaini yake ya kufuzu Kombe la Dunia 2022, baada ya kuchapwa na DR Congo mabao 3-0...

READ MORE

Uchambuzi wa Oscar Oscar Stars Kufungwa na DR Congo – Video

 Mchambuzi wa Soka nchini, Oscar Oscar amefunguka kiwango cha Taifa Stars baada ya kushindwa kutamba kwenye Uwanja wa Benjamin...

READ MORE

Kocha Mpya Simba Azungumza Kwa Mara Ya Kwanza -Video

 KOCHA mpya wa Simba, Pablo Franco, baada  ya Taifa Stars kushindwa kutamba kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa baada ya...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi na Ijumaa kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazeti la Ijumaa kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa...

READ MORE

Tanzania Yapigwa na Congo DR 3-0 Kwa Mkapa

MCHEZO umemalizika kwa Stars kupoteza nyumbani. Congo DR inaongoza kundi ikifikisha pointi 8, Taifa Stars imeshuka hadi nafasi ya 3...

READ MORE

Rodgers Kumrithi Ole Gunner Man United?

Habari za chini ya kapeti zinamtaja Brendan Rodgers kama kocha atakayepewa kibarua pale Old Trafford, pindi atakapoondoshwa mtoto wa nyumbani...

READ MORE

Poulsen Awabadilishia Mbinu DR Congo

KIM Poulsen, Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, amesema mchezo wa leo dhidi ya DR Congo,...

READ MORE

Zahera Atabiri Stars v DR Congo

MWINYI Zahera, aliyekuwa kocha msaidizi ndani ya Timu ya Taifa ya DR Congo, amesema matokeo ya mchezo wa leo wa...

READ MORE

Mataifa Kuzisaka Tiketi Za Kucheza Kombe La Dunia 2022

Timu za Taifa kuendelea na michezo ya kufuzu mashindano ya Kombe la Dunia 2022. Mashirikisho ya soka kwenye mabara yote...

READ MORE

Championi, Spoti Xtra Yamwaga Zawadi ya Vitabu vya Shigongo

DROO ya kwanza ya promosheni ya Shinda Zawadi ya Kitabu cha Shigongo, imefanyika leo Novemba 10, 2021 ambapo jumla ya...

READ MORE

Beki Ampigia Magoti Bosi Simba

BEKI wa kimataifa wa Simba, raia wa DR Congo, Enock Inonga kabla ya kwenda kuungana na kikosi cha timu yake...

READ MORE

Taifa Stars Yapewa Ndege Maalum Kuifuata Madagascar

Baadaya kucheza Taifa Stars dhidi ya DR Congo, Tanzania itaelekea kwenye mchezo wa mkondo wa pili kumenyana na Madagascar utakaopigwa...

READ MORE

Kocha Mpya Simba Alivyotua Dar Leo -Video

Kocha mpya wa Simba, Pablo Franco Martine amewasili nchini Tanzania leo saa 4:00 asubuhi akitokea kwao Hispania kupitia Dubai-Zanzibar kisha...

READ MORE

K-Mziwanda Kutoka Kuwa Konda Hadi Uhamasishaji Simba

CHAMPIONI Jumatano, limekusogezea simulizi mzuri ya shabiki wa Simba, mwanadada ambaye kwa sasa amekuwa maarufu mitandaoni kutokana na maneno yake....

READ MORE

Kim Poulsen: Haitakuwa Kazi Rahisi Mbele Ya Dr Congo – Video

 KIM Poulsen, Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars amesema kuwa mchezo wa kesho dhidi ya...

READ MORE

Majeraha Yamuondoa Kikosini Yacouba

Nyota wa Yanga SC raia wa Burkina Faso, Yacouba Songne amepelekwa nchini Tunisia kwa ajili ya matibabu kutokana na majeraha...

READ MORE

Yanga Yajipigia Mlandege FC

Timu ya Wananchi ‘Yanga’ imefanikiwa kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mlandege FC ya Visiwani Zanzibar katika mchezo...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la championi kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/= iOS :...

READ MORE

Man United Yapata Pigo

KIUNGO wa kati wa Manchester United Paul Pogba hatoshiriki katika mechi ya michuano ya kufuzu kwa kombe la dunia baada...

READ MORE

Yanga Yampotezea Kocha Mpya Simba

WAKATI wengi wakisema ujio wa kocha mpya wa Simba, Pablo Franco utakuwa ni changamoto kubwa kwa Yanga kutokana na wasifu...

READ MORE

Simba Yamfanyia Kufuru Kocha Mpya

HII ni kufuru ya pesa, ndivyo unavyoweza kusema kufuatia mkataba wa miaka miwili ambao mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara...

READ MORE

Ibenge Ashtushwa na Kocha Mpya Simba

KOCHA mkuu wa RS Berkane ya nchini Morroco, Florent Ibenge amesema kuwa klabu ya Simba imepata moja kati ya makocha...

READ MORE

Yanga Yatangaza Hali ya Hatari

UONGOZI wa klabu ya Yanga umetamba kuwa moto walioanza nao kwenye Ligi Kuu Bara msimu huu hauzimiki, bali wataendelea kukusanya...

READ MORE

Yanga SC: Diarra Ataondoka Yanga

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa hauna uhakika na mchezaji huyo kubaki ndani ya kikosi hicho kwa msimu ujao kutokana...

READ MORE

Pablo Awashtua Matola na Hitimana

UJIO wa Kocha Mkuu wa Simba, Pablo Franco raia wa Hispania ambaye amepewa dili la miaka miwili umewashtua makocha waliokuwa...

READ MORE

Feisal, Kocha Yanga Washinda Tuzo Kutoka TFF

SHIRIKISHO la Soka Tanzania limebainisha kuwa sababu kubwaya kutoa tuzo kwa wale wanaofanya vizuri ni kuongeza morali kwa wachezaji, makocha...

READ MORE

Kocha mpya Simba SC akabadhiwa faili la Yanga

BAADA ya kocha mpya, Mhispania, Pablo Franco kutambulishwa Jumamosi usiku, aliyekuwa kaimu kocha mkuu wa timu hiyo, Mnyarwanda, Thiery Hitimana...

READ MORE