×

Michezo

Lwandamina Awahenyesha Msuva, Niyonzima Kwenye Jua Kali Zenji

Musa Mateja na Said Ally, Championi Jumatano Toleo na 1955 KOCHA Mkuu wa Yanga, Mzambia, George Lwandamina, kuonyesha kuwa hataki...

READ MORE

Farid Mussa Atupwa Timu ya Under-23 Hispania

HISPANIA: Kiungo mshambuliaji wa Tanzania Farid Musa amepost ujumbe kwenye account yake ya Instagram (farid_mussa17) akieleza hali ilivyo baada ya...

READ MORE

Pichaz: Man United Yaipa Dozi West Ham ya 2-0

    WEST HAM (4-3-3): Randolph 7; Nordtveit 5.5, Reid 7, Ogbonna 6, Cresswell 6; Feghouli 5, Kouyate 6 (Fernandes...

READ MORE

Thomas Ulimwengu Aitwa Uholanzi, Wakala Wake Kuanika Mambo Yote Kesho

Klabu moja kutoka Uholanzi inatarajia kuleta ofa leo ya kumuhitaji mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars),Thomas Ulimwengu....

READ MORE

Mapinduzi Cup 2017: Yanga Yaitwisha Jamhuri Ndoo 6-0

ZANZIBAR: Moto wa vijana wa Kimataifa, ambao ndiyo mabingwa wa Tanzania Bara, timu ya Yanga umepelekwa rasmi visiwani Zanzibar kwa...

READ MORE

Boniface Mkwasa Sio Kocha Tena wa Taifa Stars

Kocha mzawa ambae ameiongoza Timu ya Taifa ‘Taifa Stars’ kwa muda mrefu Chalres Boniface Mkwasa, sasa hivi sio kocha tena...

READ MORE

TTCL Yadhamini Bonanza Soka la Vyuo Ufukweni

Kocha mkuu wa timu ya taifa kwa soka la ufukweni, John Mwansasu,  akizungumza na wanahabari. Mratibu wa bonanza hilo, Dimo...

READ MORE

Bashiri Mechi za Leo EPL

Mashabiki Walivyoupokea Mwaka Mpya 2017 kwa Shangwe DAR LIVE

READ MORE

Ajibu kuipatia Simba mil 640

Sweetbert Lukonge, Gazeti la Championi Jumatatu, Januari 2, 2017 Dar es Salaam BAADA ya hivi karibuni mshambuliaji wa Simba, Ibrahim...

READ MORE

Ronaldo akataa bilioni 4 kwa wiki China

Madrid, Hispania IMEFAHAMIKA kuwa staa wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo alikuwa ana nafasi ya kuweka rekodi ya kulipwa mshahara mkubwa zaidi...

READ MORE

Farid Mussa: Najua ugumu nitakaoukuta Hispania

Asema Yanga walinifuata nikawaambia lengo langu ni kucheza Arsenal Omary Mdose na Ibrahim Mussa, Gazeti la Championi Ijumaa, Desemba 30,...

READ MORE

Mkata Umeme ameanza kuwa mtamu

Waandishi Wetu, Gazeti la Championi Ijumaa, Desemba 30, 2016 Dar es Salaam KIUNGO wa Yanga, Mzambia, Justine Zulu ‘Mkata Umeme’,...

READ MORE

Gazeti la Championi Ijumaa, Toleo la Desemba 30, 2016

Angalia kilichoandikwa katika Gazeti la Championi Ijumaa leo Desemba 30, 2016. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa...

READ MORE

Simba Kama Kawa Waendeleza Kichapo kwa Ruvu Shooting

Kikosi cha Simba kilichoanza leo dhidi ya Ruvu Shooting leo Uwanja wa Uhuru, Dar. Simba wameshinda bao 1-0 dhidi ya...

READ MORE

Baada ya Kuwatimua Wahispania, Azam FC Yafanya Mipango Ya Kumrejesha Kocha Kali Ongala

IKIWA ni saa chache baada ya Azam FC kumtimua Kocha Mkuu, Zeben Hernandez, kuna taarifa imeanza mazungumzo na Kalimangonga Ongala....

READ MORE

Azam FC Yamtimua Kocha Wake na Benchi Lote la Ufundi

Bodi ya Wakurugenzi wa Timu ya Azam wamesitisha mikabata na makocha wake na benchi zima la ufundi wa klabu hiyo...

READ MORE

Niyonzima: Tutapoza Machungu Na Mapinduzi

 Kiungo wa Yanga, Mnyarwanda, Haruna Niyonzima. Said Ally na Omary Mdose; Championi Jumatano KIUNGO wa Yanga, Mnyarwanda, Haruna Niyonzima, ameweka...

READ MORE

Beki Matata Yanga Apata Timu Uarabuni

Wachezaji wa timu ya Yanga wakifanya maombi na Kocha wao. Sweetbert Lukonge, Dar es Salaam : Championi Jumatano BEKI wa...

READ MORE

Man Yaichapa Sunderland 3-1, Zlatan Atupiamo, Bao la Mkhitaryan Gumzo, Lapewa Jina la ‘Scorpion’

Zlatan Ibrahimovic akishangilia bao lake la 9 kwenye EPL Msimu huu. Kocha wa Sunderland, David Moyes (kulia) akisalimiana na Kocha...

READ MORE

Moto wa Chelsea Usipime, Yaichapa Bournemouth 3-0, Pedro Akiweka Mbili Kambani

KLABU YA Chelsea imezidikujikita kileleni mwa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) baada ya jana kuichapa Klabu ya Bournemouth bao 3-0...

READ MORE

Wachezaji na Mashabiki Wafariki Dunia Baada ya Boti Kuzama Ziwani

Takribani watu 30 wanahofiwa kuwa wamekufa maji baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kuzama katika Ziwa Albert nchini Uganda mapema jana....

READ MORE

Haji Manara Amuombea Msamaha Jerry Muro, TFF

Afisa Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Simba, Haji Sunday Manara ameandika barua ya wazi kwenda kwa Rais wa Shirikisho la...

READ MORE

Ubelgiji: Kocha Aliyemsajili Samatta Atimuliwa KRC-Genk

Leo ni siku ya Boxing day kimenuka nchini Ubelgiji katika Klabu ya KRC Genk anayecheza Mtanzania Mbwana Ally Samatta imeamua...

READ MORE

Stars Yapanda Kwa Nafasi Nne Tu Fifa

Kikosi cha Taifa Stars. TANZANIA kupitia Taifa Stars imefanikiwa kupanda kwa nafasi nne kwenye viwango vya Shirikisho la Soka la...

READ MORE

TRA Yachota Sh Mil 500 Msimbazi

Na Khadija Mngwai, Championi Jumamosi, 23.12.2016 Toleo No. 1949 SIMBA imekamatika kwani inadaiwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Sh...

READ MORE

Polisi Yawakamata Yanga Uwanja Wa Uhuru, Lyon 1-1 Yanga

        Wachezaji wa  African Lyon wakizozana na mchezaji wa Yanga. Waandishi Wetu, Championi Jumamosi, 23.12.2016 Toleo No. 1949 SARE...

READ MORE

Simba, Yanga Zamalizana Fresh Na Uhamiaji

Kikosi cha timu ya Yanga wakifamnya maombo na kocha wao. Na Khadija Mngwai, Championi Jumamosi, 23.12.2016 Toleo No. 1949 HATIMAYE...

READ MORE

Samatta atimiza miaka 24

MSHAMBULIAJI wa Kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta ‘Samagoal’  leo Ijumaa nasherekea siku yake ya kuzaliwa kwa kutimiza miaka 24. Mtanzani...

READ MORE

Mfaransa wa Yanga Afanya Vikao Vitatu Tofauti

Ambaye anatajwa siku za usoni kuja kuwa Mtendaji Mkuu wa Klabu ya Yanga, Jerome Dufourg. Waandishi Wetu, Dar es Salaam...

READ MORE

Kwa Mpango Huu… Azam FC Wanaiba Fedha Za Bakhresa

Kikosi cha timu ya Azam. MAKALA – BONGO: Selemani Matola, Championi Ijumaa 23.12.2016 MIAKA 20 iliyopita tofauti na Simba na...

READ MORE

Mgomo Yanga, Mshahara Ni Kisigizio Tu, Siri Imefichuka

 Wachezaji wa timu ya Yanga wakifanya maombi na Kocha wao George Lwandamina.  Na Mwandishi wetu| Gazeti la Championi J5 Wachezaji wa...

READ MORE

Kilichojiri Katika Mgomo wa Saa 24 Wachezaji wa Yanga

        Meneja wa Yanga akizungumza na watu walio ndani ya gari. Wilbert Molandi na Musa Mateja |...

READ MORE

Niyonzima: Sasa Msuva Atakuwa Mfungaji Bora

Mshambuliaji wa timu ya Yanga. Wilbert Molandi | Championi Jumatano NAHODHA na kiungo mchezeshaji wa Yanga Mnyarwanda, Haruna Niyonzima amejiapiza kuwa,...

READ MORE

Amissi Tambwe Ampasua Kichwa Kocha Simba SC

Mshambuliaji wa timu ya Yanga, Hamis Tambwe. Nicodemus Jonas | Gazeti la hampioni Jumatano, Toleo la Desemba 21, 2016 INGAWA...

READ MORE

Lwandamina Aanzia Kileleni, Yanga 3- 0 JKT Ruvu Uwanja Wa Uhuru

Kikosi cha timu ya Yanga kilichoanza dhidi ya JKT Ruvu katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar. Yanga walishinda bao 3...

READ MORE

Michezo ya Ligi Kuu Tanzania Bara Itakayochezwa Leo Kuanza kwa Duru ya Pili

Hapa chini ni taarifa iliyotolewa na TFF jana kuhusu mzunguko wa pili wa ligi kuu unaoanza leo; Duru la Pili...

READ MORE

Ngassa Kama Utani Katua Mbeya City

Kiungo mshambuliaji wa zamani wa Fanja FC, Mrisho Ngassa enzi akiwa Yanga. Wilbert Molandi,Dar es Salaam KIUNGO mshambuliaji wa zamani...

READ MORE

Lwandamina Mtihani Wa Kwanza Ligi Kuu Leo

  Kocha Mkuu wa Yanga, George Lwandamina. Khadija Mngwai, Dar es Salaam KOCHA Mkuu wa Yanga, George Lwandamina, anatarajia kuanza...

READ MORE

Achana na Akina Ronaldo na Messi, Huyu Ndiye Mwabnasoka Atakayalipwa Pesa Nyingi Zaidi Duniani

Oscar atakuwa ndiye mchezaji anayelipwa fedha nyingi duniani akifanikiwa kuhamia Ligi Kuu ya China ambako mpaka sasa bado vitu vichache...

READ MORE

Yanga Yamtoa Chirwa Kwa Mkopo, Yasajili Mbadala

Mshambuliaji wa Yanga raia wa Zambia Obrey Chirwa. Klabu ya Yanga imemtoa kwa mkopo mshambuliaji wake raia wa Zambia Obrey...

READ MORE